Regime Change Inakuja Tanzania.

Regime Change Inakuja Tanzania.

Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"

Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu

Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?

Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Utasubiri SANA na hayatokei
 
Unachanganya mambo. Wenzetu wapo very strict kwenye mgongano wa kimaslahi.

Halafu huyu bwana hakuwahi kuwa mbunge wala waziri wakati wa Mwalimu. Nadhani kipindi cha mwalimu alikuwa lab technician wa Nyanza Cooperative Union.
Unadhani unajua kumbe hujui kitu kaka
"First elected as a Member of Parliament in 1995, he served in the Cabinet of Tanzania as Deputy Minister of Works from 1995 to 2000"
Mwalimu kafariki 1999 we unabisha nini sasa?

Kuhusu mgongano wa maslahi wa Trump analalamikiwa na wazungu wenzake sio mimi.
 
Kwa hii nchi yetu hakuna mfumo utakudhibitishia mali ipi ni ya nani kwani sheria haziwahusu waliopo madarakani. Hatuna mamlaka inayoweza kutaja mali zinazomilikiwa kifasadi na mtu mwenye madaraka. Kwa hiyo kutuambia ushahidi wa mali ya kiongozi ni kama unatuona watoto.
Mamlaka ya Chadema kumtaja Lowassa kama ni fisadi yalitoka kwa nani? Ukinijibu hapo nitashukuru
 
Mamlaka ya Chadema kumtaja Lowassa kama ni fisadi yalitoka kwa nani? Ukinijibu hapo nitashukuru

Cdm sio mamlaka bali ni chama cha siasa, walimtaja Lowassa kisiasa na hilo ni kweli hata kama alihonga viongozi na kumsafisha haiondoi ukweli kwamba ni fisadi. Mtu inasemekana ni tajiri lakini miradi anayomiliki haifahamiki unategemea nini? Ni hivi huyo anayemtetea ni mwizi kama wezi wengine ila madaraka yake hakuna mamlaka inaweza kuhoji chochote.
 
Kama walimuondoa Gadafi madarakani aliekuwa anawapa kila kitu wananchi wake sembuse huyu wetu anaewafanya wanachi wake kuishi kwenye lindi la umaskini
So simple
 
Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"

Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu

Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?

Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Tatizo lako nimelielewa. Ebu nenda Marekani leo na ukae wiki 2 tu. Na kila siku angalia news tena masaa 24. Halafu niambie Tanzania itatajwa mara ngapi? Jibu ni zero.
Tatizo wengi mnafikiri mambo yetu huku ni signicant sana kiasi kwamba Wamarekani waache mambo yao wakujadili wewe. Mbaya zaidi, hadi unaota kuwa wanamuda na resources za kukupangia regime change. Asilimia kubwa ya watu wao hawajui hata sisi tuko upande gani wa dunia. Mark my words, huijui Marekani wewe!
 
Wapigaji Tanzania walikuwa wengi kiasi kwamba ikawa ni Tabia ambayo ni kama ngozi sasa, nasikia vilio kila kona ya mji baada ya Dr. Kuanza kuzichuna hizo ngozi sasa, ushahidi ni comments nyingi za hapo juu, bado kuzibanika tu nyama zenu kabisa tule ndafu. Mtasubiri sana na madua ya kuku kwa mwewe na bado mtanyakuliwa
WAHITIMU WA VYUO VIKUU INTAKE NNE HAWAJAAJILIWA,WATUMISHI HAWAJAPANDISHWA MISHAHARA.



MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII KUWAPA 25% WASTAAFU.NILIOWATAJA HAO NI WAPIGA DILI???

MPIGA DILI NI NANI HASA?? ALIYETIA KIBINDONI TRION 1:3 BILA MAELEZO NAYE ATAITWAJE ? MPIGA DILI AU MWIZI MKUU.

KUMINYA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI NA SHUGHULI HALALI ZA KISIASA.

WATU KUPOTEA NA WENGINE KUTWANGWA RISASI MCHANA KWEUPE, KWELI WEWE NI BOYA KABISA.


NDIO MAANA MIMI HUWA NASEMA UZAZI WA MPANGO NI MUHIMU SANA......SHAME ON YOUR POOR NARROW MINDED THINKER
 
Unadhani unajua kumbe hujui kitu kaka
"First elected as a Member of Parliament in 1995, he served in the Cabinet of Tanzania as Deputy Minister of Works from 1995 to 2000"
Mwalimu kafariki 1999 we unabisha nini sasa?

Kuhusu mgongano wa maslahi wa Trump analalamikiwa na wazungu wenzake sio mimi.
Mkuu unakumbushwa tuu, 1995 Mwalimu hakuwa President...,

President alikuwa BWM (1995 - 2005)
 
saa nane za usiku mtu anakurupuka anaandika "regime change" ama kweli wapiga dili JPM amewasokomeza ukuni kwenye.......kanyaga twende baba,
 
Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"

Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu

Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?

Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Hao wazungu labda wakuwekee kiongozi wa magetoni kwako ila kutuwekea kiongozi wa hili taifa wasahau.......kama wanajiamini wajifanye kama wanajikuna tu
 
Wapigaji Tanzania walikuwa wengi kiasi kwamba ikawa ni Tabia ambayo ni kama ngozi sasa, nasikia vilio kila kona ya mji baada ya Dr. Kuanza kuzichuna hizo ngozi sasa, ushahidi ni comments nyingi za hapo juu, bado kuzibanika tu nyama zenu kabisa tule ndafu. Mtasubiri sana na madua ya kuku kwa mwewe na bado mtanyakuliwa
na wakulima wa korosho nao walikuwa wapigaji?
 
Back
Top Bottom