- Thread starter
- #21
unaumwa wewe na majibu ya ndio hapana kwenye polls ili wasimuudhi mkuu! tafuta cha kufanya
I remember my dad used to tell me "Don't argues with fools coz' people will not notice the difference!"
unaumwa wewe na majibu ya ndio hapana kwenye polls ili wasimuudhi mkuu! tafuta cha kufanya
Hakuna lolote hao REDET ni vibaraka wa system na huyo mmoja VC ni mwanamtandao na mwingine ni mshauri wa Mkulu katika masuala ya kisiasa. You got that?
Nakumbuka walisema watafanya utafiti tena September ngoja tusubiri.
Tatizo la utafiti limekuwa kumshindanisha JK na watu ambao walikuwa hawajatangaza kugombea. Wafanye opinion poll sasa hivi kati ya: JK, Slaa na Lipumba then walete matokeo. Wanaweza wakafanya sasa hivi, ingine katikati ya kampeni na ingine mwishoni.
I remember my dad used to tell me "Don't argues with fools coz' people will not notice the difference!"
Hawa REDET wanaiga utamaduni wa nchi za magharibi hasa marekani ambapo opinion polls zinatumika kutekeleza matakwa ya chama watafiti wanachokipenda!! Sasa huku kwetu REDET ni chombo ambacho kila siku utafiti wake na matokeo yake yataonesha upendeleo kwa ccm na ndio maana viongozi wa REDET mara baada ya chaguzi hutunikiwa vyeo na watawala kama bahashishi kwa kuwatimizia malengo yao!! Mmoja wao alipewa uVC wa chuo kikuu na mwingine ni commissioner wa Tume ya Uchaguzi baada ya uchaguzi wa 2005!! Utafiti wao sio objective kwasababu samples wanazotumia kufikia mahitimisho yao zinakuwa biased.
Tuache ushabiki usio na maana wala tija!Hata mimi Dr. Slaa namkubali, and i think kuliko Kikwete! Lakini ingawaje namkubali Slaa kuliko Kikwete, bado naikubali CCM (as A well established institution)Kuliko CHADEMA! Aidha, kumkubali Slaa wala hakunipi shaka kwamba Kikwete na CCM yake watashinda. Kukataa ukweli huu ni sawa na kukataa ukweli kwamba kati ya jua na dunia, kinachozunguka ni dunia na sio jua! Katika akili ya kawaida inaonekana kinachozunguka ni jua na sio dunia! Slaa anakubalika; lakini tangu lini watanzania wameacha kuchagua chama badala ya mtu?! Kwa CHADEMA gani? Hii hii tunayoijua wote!! Tusidanganyike na mbwembwe za kupaa na helikopta kupita kuomba udhamini! Hivi kweli Slaa hapa alipo ameshafikia pale ambapo Lytatonga Mrema alifikia 1995?! Jambo pekee ninaloamini mimi ni kwamba Slaa(sio CHADEMA) atazipunguza kura za Kikwete kwa kiasi cha kutosha tu lakini sio kushinda! Na atashinda wala sio kwa kuiba kura bali kwa kura halali kabisa za mamilioni ya Watanzania ambao huwaambii lolote kuhusu Kikwete na CCM yao. Wala msidanganyike na kura za maoni zinazopigwa humu JF ambazo mimi peke yangu naweza kusema NDIYO au HAPANA hata mara elfu moja! Inawezekana kabisa kwamba REDET wanatumiwa, lakini ule utafiti wa Synovate ulikuwa tofauti sana na REDET?! nao wanatumiwa?! Tusisahau, kukubalika moja, kuchaguliwa kitu kingine! Mwenye macho haambiwi tazama, am afraid watu wameingiwa na mavumbi ya helikopta ya CHADEMA!
REDET hawana affiliation yoyote na chama chochote., ni mindset za watu ambao siku zote ni wabishi. Sisi wana JF ni wasomi, tunajua maana ya utafiti. Labda mtu angekosoa malengo ya utafiti uliofanywa na REDET, siyo kukosoa matokeo ya utafiti huo. Halafu magazeti husomwa na literate population, wanakijiji wa swaswa ni wangapi wanaojua hata mmagazeti matatu maarufu tz?? Tuache upumbavu bana!!!!:
nod::yawn:
REDET hawana affiliation yoyote na chama chochote., ni mindset za watu ambao siku zote ni wabishi. Sisi wana JF ni wasomi, tunajua maana ya utafiti. Labda mtu angekosoa malengo ya utafiti uliofanywa na REDET, siyo kukosoa matokeo ya utafiti huo. Halafu magazeti husomwa na literate population, wanakijiji wa swaswa ni wangapi wanaojua hata mmagazeti matatu maarufu tz?? Tuache upumbavu bana!!!!:
nod::yawn:
REDET hawana affiliation yoyote na chama chochote., ni mindset za watu ambao siku zote ni wabishi. Sisi wana JF ni wasomi, tunajua maana ya utafiti. Labda mtu angekosoa malengo ya utafiti uliofanywa na REDET, siyo kukosoa matokeo ya utafiti huo. Halafu magazeti husomwa na literate population, wanakijiji wa swaswa ni wangapi wanaojua hata mmagazeti matatu maarufu tz?? Tuache upumbavu bana!!!!:
nod::yawn:
REDET walishazungumza mapema! Watu wakawakejeli kwamba eti wanatumiwa!! Gazeti la Tanzania Daima likadai eti REDET inatumiwa na Kikwete; kwamba REDET wanapotoa utafiti kuonesha kukubalika kwa Kikwete kunajenga saikolojia ya wapiga kura wamchague Kikwete!! Aibu zaidi, Tanzania Daima waliibuka na tahariri iliyoikandia REDET; kwavile tu ripoti hiyo ya REDET ilionesha Kikwete angeshinda kwa asilimia nyingi endapo uchaguzi mkuu ungefanyika wakati wa utafiti uliokuwa umefanyika na REDET!
Bila shaka Tanzania Daima wangekubaliana na utafiti wa REDET endapo ungesema CHADEMA kingeshinda!! Wakati Tanzania Daima walipotoka na tahariri ya kukejeli utafiti wa REDET, walisahau kwamba siku chache tu kabla ya hapo wao walikuwa wameibuka na kura za maoni zilikuwa zimeendeshwa humu JF!
Hata wana CCM nao wakaupinga utafiti wa REDET, kisa tu kilitabiri mabaya kwa wabunge kadhaa kwamba wangepigwa chini!! KIKO WAPI? Nyota njema imeonekana asubuhi! Asubuhi asubuhi, tayari wabunge kadhaa wa CCM wamegalagazwa hata kabla ya uchaguzi mkuu wenyewe bado! Nasikia karibi wabunge 50 chali na game bado linaendelea! Hao ni wale waliopteza mikononi mwa wana-CCM wenzao! Je, ni wangapi kwa waliosalia watakaopoteza viti vyao kwa upinzani?!
Mimi si Mwana CCM, CHADEMA wala REDET; ila ningependa kuwashauri Watanzania kujenga utaratibu wa kuamini tafiti zetu! Sina hakika, lakini naamini REDET imeundwa na wasomi hivyo kubeza tafiti zao ni kubeza umuhimu wa wasomi wetu.
Inawezekana REDET wakati wanafanya utafiti wao walimtumia Lipumba na Mrema kama wagombea kutoka kambi ya upinzani. Sasa hivi ukilinganisha Mrema na Tambwe kwenye kura za maoni hata ya Udiwani, Tambwe atamzidi Mrema. Huo ni mfano mfupi tu, REDET wanatakiwa kufanya huo utafiti sasa hivi baada ya Dk. Slaa kutangaza kugombea.[/FONT ]