October 2pm
JF-Expert Member
- May 2, 2023
- 1,124
- 1,983
Najuzwa hapa kuna nchi mbili jirani watafaidika na kinachoendelea hapa nchini. Nchi moja iko magharibi, nyingine ipo kaskazini. Mtoto wa profesa tayari juzi usiku alitembelewa na watu kutoka nchi za ulaya kwaajili ya mpango usiojulikana.
Hayo yakiendelea huko ndani ya nchi Kundi la Redcross linaendelea lilipoishia. Najuzwa laandikisha familia za wahanga. Wameaanzia Arusha tangu talehe 6. Kwa Dar najuzwa kazi hiyo ilianza jana usiku maeneo ya mbezi kwa Msuguri. Nye Nye nyie. Tayari mashirika yasiyo ya kiserikali yataingia kazini huku mengine yakidhaminiwa kwa siri kubwa na nchi jirani iliyopo magharibi mwa nchi ingawaje NGO hizo siku zote zajulikana zapokea misaada kutokea nchi za ulaya. Miye sijui walahi. Na bado
Hayo yakiendelea huko ndani ya nchi Kundi la Redcross linaendelea lilipoishia. Najuzwa laandikisha familia za wahanga. Wameaanzia Arusha tangu talehe 6. Kwa Dar najuzwa kazi hiyo ilianza jana usiku maeneo ya mbezi kwa Msuguri. Nye Nye nyie. Tayari mashirika yasiyo ya kiserikali yataingia kazini huku mengine yakidhaminiwa kwa siri kubwa na nchi jirani iliyopo magharibi mwa nchi ingawaje NGO hizo siku zote zajulikana zapokea misaada kutokea nchi za ulaya. Miye sijui walahi. Na bado