CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 6,087
- 5,352
Katika azma ya kuifanya Tanzania kinara wa kupunguza pengo la uwiano wa kijinsia kuelekea dira 2050, Rais Smia ameteua ya Majaji 35 wanawake 41%.
Uwiano wa kijinsia ni moja ya shabaha ya msingi inayopewa kipaumbele mahususi na Dira2050 ambapo Tanzania inalenga kuwa kinara barani Afrika na miongoni mwa nchi kumi bora duniani katika kupunguza pengo la kijinsia kwa angalau 85%. Dira2050 imeipa kipaumbele eneo hilo kwa sababu tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa wanawake ufanisi wa wanawake katika nafasi mbalimbali za utedaji ni mkubwa kuliko wa wanaume, kwa mfano kwa mujibu wa utafiti wa Harvard Business Review (2019) imeonesha kuwa ufanisi wa wanawake katika utendaji ni 84% zaidi ya wanaume. Katika kuunga mkono shabaha ya dira na tafiti mbalimbali, Rais Samia ndani ya miaka minne ya awamu ya kwanza ya uongozi wake Rais Samia katika majaji 83 aliowateua tangu aingie madarakani mwaka 2021 Asilimia 41% ni wanawake
Uwiano wa kijinsia ni moja ya shabaha ya msingi inayopewa kipaumbele mahususi na Dira2050 ambapo Tanzania inalenga kuwa kinara barani Afrika na miongoni mwa nchi kumi bora duniani katika kupunguza pengo la kijinsia kwa angalau 85%. Dira2050 imeipa kipaumbele eneo hilo kwa sababu tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa wanawake ufanisi wa wanawake katika nafasi mbalimbali za utedaji ni mkubwa kuliko wa wanaume, kwa mfano kwa mujibu wa utafiti wa Harvard Business Review (2019) imeonesha kuwa ufanisi wa wanawake katika utendaji ni 84% zaidi ya wanaume. Katika kuunga mkono shabaha ya dira na tafiti mbalimbali, Rais Samia ndani ya miaka minne ya awamu ya kwanza ya uongozi wake Rais Samia katika majaji 83 aliowateua tangu aingie madarakani mwaka 2021 Asilimia 41% ni wanawake