OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Mkuu kwenye uefa saiv Chelsea ni kama inataka kutawala kabisa ..hii Madirid ya Benzema na wazee wengine washajichokea ni bora timu iundwe upya ili iweze kuleta ushindani tena. Unaona akina mbappe wanagoma kuja, unadhani akija halaand watakuja kweli ..jibu ni hapana kwa sababu timu imeshajichokea. Uza wazee wote unda timu upya ..misimu minane mbele ndo tuanze kufikiria uefa..Hata wasishinde kikombe kingine, ila wajitahidi hata waingie final mara mbili mfululizo ndio tunaweza kubishana nao, ila kwasasa bado wapo Chekechea wakati wenzao tunatafuta shahada ya pili
Hala Madirid...