Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Acha tuone kama wana maajabu, maana sio kwa hizo kelele kwenye mitandao juu ya rotation., nilitamani tumalize hii ishu ya La liga mapema, ila nikifikiria Jumanne tuna Bayern basi ninakubaliana tu na Mwalimu wetu.
Hiki kikosi chetu cha leo dhidi ya Sociedad😂😂😂dah...naona rotation ya nguvu imefanyika.