Platnam
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 769
- 1,239
Kuna dalili za kusubiri hadi January tumchukue bure.. Ngoja tusubiri tuone.Bado, mazungumzo yanaendelea, ila ni kama PSG wamegomea hii offer ya juzi, acha tuone weekend hii watafikia hatua gani.
Kuna dalili za kusubiri hadi January tumchukue bure.. Ngoja tusubiri tuone.Bado, mazungumzo yanaendelea, ila ni kama PSG wamegomea hii offer ya juzi, acha tuone weekend hii watafikia hatua gani.
Kabisa. Bora kukomaa tumchukue sahivi. Mbeleni huko hatujui nini kitatokea. I hope Perez atakomalia hadi kielewekeHaya mambo ya kusubiri hua siya amini kabisa inaweza fika January dogo akapewa offer ya maana kwingine ikala kwetu
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ila nimesoma taarifa moja, kumbe kuna uwezekano wa kukubaliana na mchezaji then wakawekeana pre contract agreement hata kama transfer haitafanyika sahivi. Japo naona Perez anapambana kieleweke kabla ya international breakHaya mambo ya kusubiri hua siya amini kabisa inaweza fika January dogo akapewa offer ya maana kwingine ikala kwetu
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni mpaka January ndio inaweza, sijui Perez amejipanga vp kuhakikisha kuwa Dogo hata sign mkataba mpya na PSG ama na team nyingine kutokea kipindi hichi mpaka hapo January, wasi wasi wangu isije ikajirudia ile ya De Gea (japokuwa kwangu ninaona ni afadhali hatukumsajili.)Ila nimesoma taarifa moja, kumbe kuna uwezekano wa kukubaliana na mchezaji then wakawekeana pre contract agreement hata kama transfer haitafanyika sahivi. Japo naona Perez anapambana kieleweke kabla ya international break
Kweli man, japokuwa pesa jamaa wanayotaka ni ndefu, ila ni afadhali tukamalizana nae msimu huu kabisa, msimu ujao ikabaki kufanya biashara na Mino tu kwenye deals ya Pogba na HaalandKabisa. Bora kukomaa tumchukue sahivi. Mbeleni huko hatujui nini kitatokea. I hope Perez atakomalia hadi kieleweke
Hapa kwa mbappe Madirid tumepigwa au tunaelekea kupigwa. Kwa sisi wataalam tunaona kabisa hii timu ni cr7 pekee ndo alipatia ila hawa madogo wengne kwa sasa tutapoteza hela tu ..unakumbuka hata Chelsea ilivyotubamiza? Hii timu Kwa sasa itachukua almost ten years kujenga tena.Hatuna shida na utaalamu wako, una hangaika na club isiyo kua size yako
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Apo Halaand lazima aende Chelsea hatuoni kama yuko tayari kuja madirid hata Pogba hana muda na hii timuKweli man, japokuwa pesa jamaa wanayotaka ni ndefu, ila ni afadhali tukamalizana nae msimu huu kabisa, msimu ujao ikabaki kufanya biashara na Mino tu kwenye deals ya Pogba na Haaland
Muda ndio utasema, kama mlikuwa mna nia ya kumnunua Haaland wala msingehangaika na Lukaku, Pogba kuanzia my. January mwakani atakuwa free kuongea na club yoyote atakayohitaji kwenda, so kama Madrid watahitaji huduma yake wataongea na wakala wake.Apo Halaand lazima aende Chelsea hatuoni kama yuko tayari kuja madirid hata Pogba hana muda na hii timu
Real Madrid sio Chelsea, kaeni kwa kutulia,Hapa kwa mbappe Madirid tumepigwa au tunaelekea kupigwa. Kwa sisi wataalam tunaona kabisa hii timu ni cr7 pekee ndo alipatia ila hawa madogo wengne kwa sasa tutapoteza hela tu ..unakumbuka hata Chelsea ilivyotubamiza? Hii timu Kwa sasa itachukua almost ten years kujenga tena.
Mkuu hii timu yetu Madirid imekuwa takataka sidhani kama Halaand na Mbappe wataeza kuja hapa maana tumepoteza mvuto kabisa.Muda ndio utasema, kama mlikuwa mna nia ya kumnunua Haaland wala msingehangaika na Lukaku, Pogba kuanzia my. January mwakani atakuwa free kuongea na club yoyote atakayohitaji kwenda, so kama Madrid watahitaji huduma yake wataongea na wakala wake.
Una ushabiki wa kitoto sana, ninadhani unaifananisha Real Madrid na team zenu za mchangani,Mkuu hii timu yetu Madirid imekuwa takataka sidhani kama Halaand na Mbappe wataeza kuja hapa maana tumepoteza mvuto kabisa.
Nimeshawaambia achaneni na huyu dogo, kavunja ungo siku za karibuni. Bado anatoa maziwa puani huyo.Una ushabiki wa kitoto sana, ninadhani unaifananisha Real Madrid na team zenu za mchangani,
Naona Perez amesitisha rasmi zoezi la kumsajili Mbappe mpaka hapo January.
Aisee, huyu Dogo nilidhani club ilishaamua Kuachana nae kumbe bado walikuwa wanamfuatilia? Mliopata nafasi ya kuona akichezi hebu tujuzeni rile yake akiwa uwanjani, ninakumbuka niliwahi kuangalia game yao moja tu, sasa ni ngumu sana kutoa maamuzi kwa kuangalia game moja.
Kweli man, ni wa kumpotezea tu, kwasababu niliona kama ana utoto mwingi sana, ninadhani amezoea ubishani wa namna hiyo na Watoto wenzao wa eplNimeshawaambia achaneni na huyu dogo, kavunja ungo siku za karibuni. Bado anatoa maziwa puani huyo.
Kama Perez ana uhakika kuwa Mbappé anaweza kuja mwakani bure hakuna haja ya kuongeza pesa zaidi kiukweli, pesa iliyotolewa ninaona kama ilitosha kabisa haswa ukizingatia kuanzia January mwakani tunaweza kumalizana naePesa nyingi sana zile walikuwa wanahitaji wakati mcm ujao atakuja bure sasa niwakati wakuzipeleka kwa haaland na pogba
Mbappe akija kwenye hii club atapoteza muda wake tu. Hii club Kwa sasa Haina ushawishi tena kama mwanzo.Naona Perez amesitisha rasmi zoezi la kumsajili Mbappe mpaka hapo January.