Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Team yoyote ni lazima ipitie mabadiliko, sioni kwanini unasema tumekwisha wakati hata hao wakati wanacheza tulikuwa tunfungwa na walikuwa wanafanya makosa pia, suala la ulinzi ni la wote na sio beki tu, team ikishirikiana kujilinda hata ubovu wa beki hautouona.Wakuu hivi kumbe mihimili yetu ya center backs wote wametukimbia.
Sasa kina nani wanachukua nafasi za Ramos na Varane pale nyuma?
Tumekwisha ahaaaa!
Ninadhani tunapoelekea combination ya Militao na Alaba itakuwa poa zaidi, Nacho sio mtu wa kumwamini sana, ana kujisahau muda mwingine.