Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii press nimeimaliza kuisoma muda huu huku telegram.

Ngoja tuone PSG kama watafanikiwa kumuongezea mkataba
Mpaka unaona Leonardo amepata moto hivyo basi jua hapo hakuna mtu atayesign mkataba mpya, mpaka hapo mambo yameshaharibika., ni kama jamaa ameshindwa kumtaja Perez kuwa yupo nyuma ya hii ishu ya Mbape, Ila Perez ni mafia sana yule Mzee.,
 
Hahahaha.
Ile ligi mpya sijui imeishia wapi, mzee anachachafya sana
Bado ipo kwenye mipango, jamaa anajipanga upya, zimebaki team tatu, Real, Barca na Juve, Mzee anakuambia anaweza mambo Sawa aitambulishe upya.
 
Hahahaha.
Ile ligi mpya sijui imeishia wapi, mzee anachachafya sana
Haijaisha, juzi kati tu kulikua na haya maamuzi
IMG-20210826-WA0000.jpg
 
BREAKING: PSG's president confirms: Mbappé is signing for Real Madrid. Will be official tomorrow.
IMG_20210826_234559_469.jpg
 
PSG have accepted Real Madrid's offer of 170M+10M in bonuses. Mbappé will be in Madrid tomorrow.

Both Real Madrid and PSG now consider the deal DONE. It will be announced tomorrow.

| Kylian Mbappé is set to become the second most expensive player in football history (again).

MARCA
 
Huyo dogo atapoteana hapo madrid ..bora angebaki zake tu PSG ..wataalam wa mambo tunaona mwisho m'baya wa mbappe.
 
Back
Top Bottom