Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,754
- 6,489
Mpaka unaona Leonardo amepata moto hivyo basi jua hapo hakuna mtu atayesign mkataba mpya, mpaka hapo mambo yameshaharibika., ni kama jamaa ameshindwa kumtaja Perez kuwa yupo nyuma ya hii ishu ya Mbape, Ila Perez ni mafia sana yule Mzee.,Hii press nimeimaliza kuisoma muda huu huku telegram.
Ngoja tuone PSG kama watafanikiwa kumuongezea mkataba