Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,391
- 3,156
.
Timu imejaa average players wengi, ukija kwa mbape ni kama anawaza tuzo binafsi sana kuliko maslahi ya timu leo kazingua sanaBoya yule Ceballos ametuuza, dakika za usiku sanaa
Leo ni leo...ni kama fainal,je mourinho atakubali kufungwa mara mbili mfululizo?na je tutakubali tuondoke kwa aibu msimu huu?nusu saa imebaki kuona timbwili hili... hala madrid.
VamooooosReal!!Leo ni leo...ni kama fainal,je mourinho atakubali kufungwa mara mbili mfululizo?na je tutakubali tuondoke kwa aibu msimu huu?nusu saa imebaki kuona timbwili hili... hala madrid.
VamooooosReal!!
Hasta el final
Acha tuone, maana nimesaka taarifa bila mafanikio, siku chache zijazo tutazipata tu
Kulikoni leo anacheza Mkuu!!
Mi mwenyewe sijajuaKulikoni leo anacheza Mkuu!!
Sanaaa....yaan kwenye ulinzi aises kuna kazi kubwa sana yakufanya.Kwenye suala la Ulinzi tupo weak sana kiukweli, yaani watu wanakaba kwa macho.