Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Game imesimama kidogo, maana Vini mwenyewe alitoka nje ya uwanja.
Ila muda sio itarejea tena, maana ninaona kama amekubali kurudi uwanjani.
 
Team imecheza kwa nidhamu sana, licha ya purukushani za hapa na pale ila vijana wametulia na hatimaye wakafanya jambo, tukutane 2nd leg Bernabeu.
HalaMadrid!!
 
Team imecheza kwa nidhamu sana, licha ya purukushani za hapa na pale ila vijana wametulia na hatimaye wakafanya jambo, tukutane 2nd leg Bernabeu.
HalaMadrid!!

Hizi sio purukushani za hapa na pale, Benfica walikuwa mambwa on and off the pitch. Nilikuwa naangalia live hapa mpaka kwenye tunel walikuwa wanalazimisha kuingia changing room ya Real Madrid mpaka UEFA ikabidi waingilie kati
 
Hizi sio purukushani za hapa na pale, Benfica walikuwa mambwa on and off the pitch. Nilikuwa naangalia live hapa mpaka kwenye tunel walikuwa wanalazimisha kuingia changing room ya Real Madrid mpaka UEFA ikabidi waingilie kati
Walidhani wangekutana na mteremko kama wa week kadhaa zilizopita!! Team imebadilika sana
 
Game ijayo tunamkosa Vini

Anakuwa mchezaji wa 4 muhimu kukosekana.
Ana kadi nyingi ama ni aje!? Ninadhani wale walijua ndio maana kama kajamaa kakaenda kumfanyia ule ujinga, lengo lilikuwa hilo, tunawawekea Brahim ama Gonzalo tunatembea nao hivyo hivyo!!
 
Endeleeni kumtetea huyu nguchiro wenu finishazi. Unafunga goli halafu unaenda kudhihaki wapinzani unategemea nini🤣 🤣 🤣
 
Endeleeni kumtetea huyu nguchiro wenu finishazi. Unafunga goli halafu unaenda kudhihaki wapinzani unategemea nini🤣 🤣 🤣
Kucheza na kwenyewe ni kudhihaki? Niliona alicheza tu kwenye kibendera kama kawaida yake, sikuona namna alidhihaki mtu pale.
 
Back
Top Bottom