Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hiyo ni technical card ya kuji tafutia, incase madrid akienda 16 bora asiwe na kadi.

rejea rice, au enzi za Sergio Ramos.
Sidhani kama ipo hivyo, hususani ukiangalia incidents ya jana iliyopelekea mpaka Vini kupokea kadi

Kwasababu hata Mbappe alijikuta anapewa njano ambayo ilikuwa influenced na Vini.

Kwa hiyo ukisema ni techniques basi hata kadi ya Mbappe nayo ilikuwa ni sehemu ya script.
 
1000123104.jpg
 
Hii penalty aisee, mbon kituko!? Jamaa wanaongoza hapa
Naona tumezidiwa eneo la kati hapa...Camavinga ashakuwa na yeye ni veterani,hakimbii wala hawezi kunusa hatari...anamkaba sana Tchoumen kwa kumpa mzigo badala yakumsaidia..Dani kule nae anakimbizwa tu.
 
Naona tumezidiwa eneo la kati hapa...Camavinga ashakuwa na yeye ni veterani,hakimbii wala hawezi kunusa hatari...anamkaba sana Tchoumen kwa kumpa mzigo badala yakumsaidia..Dani kule nae anakimbizwa tu.
Dani amechoka tu kiukweli, labda kwa kuwa amekaa nje ya uwanja kwa muda mrefu, inawezekana bado mwili haujakaa sawa, japokuwa na yeye umri umeenda
 
Back
Top Bottom