hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,474
- 12,020
Yameliwa tano kimasihara kabisa.
Na tapeli wao Xabi Alonso.
Sisi tunawangoja mwezi wa kumi.
Carasco Putin
Yameliwa tano kimasihara kabisa.
Yupo kwenye handaki kama Ayatollah vileNyumbu Carasco Putin kajikausha kama sio yeye aloliwa vitano na watoto wa simeone.
😂😂😂😂😂😂😂Bado mechi 34 tuwe mabingwa
Eti nini?Sijaona wa kutuzuia halla Madrid los blancos forever 🏳🏳🏳