Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii timu yetu hapa mbele Vin na Mbappe lazima kocha afanye maamuzi magumu...hii timu haina balance na huku mbele hakuna mawasiliano mazuri.
 
Nashindwa kumuelewa Xabi alonso anafikiria nini kumuanzisha Brahim diaz na kumuacha Rodrigo nje
 
Here we go, pressure inapanda inashuka. Alonso ana kibarua kigumu sana
 
Mbappe makes no mistake & slots the penalty into corner! Real Madrid 1-0 Osasuna

1755671955291.gif
 
Hii timu jana imeninyima millio 4🥹🥹 imeshindwa kabisa kupata goli 2💔 shame
 
Back
Top Bottom