Timu bado haina muunganiko hii, ni wanakimbiakimbia tu.Kwa style ya Alonso ya uchezaji basi wachezaji kazi wanayo, kama mchezaji hujiamini au hauko makini mtakuwa mnakula chuma tu. Kwa jinsi Leverkusen ilivyokuwa inacheza, Iko so comfortable na mpira, beki anaweza kupiga Hadi pasi kumi hapo Kwa hapo. Beki na Viungo Madrid naona Bado sana, kule mbele wanakimbia kama Mbuzi zilizotoka Bandani. Alonso hatakiwi kucheka na Kima.
Shetani umeshawahi kumuona mpaka umchukie?Naichukia mno Madrid akitoka ccm na shetani mnafata nyie kwa kuwachukia
Kumbe man u hatupo😃😃Naichukia mno Madrid akitoka ccm na shetani mnafata nyie kwa kuwachukia
Ancelot alikimbia mapema
Mechi ya jana nauhakika itakuwa imemuonyesha Alonso namna gani afanye ili kikosi kiwe imara.Vipigo vinatunyemelea kwa msimu wa pili mfululizo