Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Screenshot_20250710-002744_Facebook.jpg
 
Kwa style ya Alonso ya uchezaji basi wachezaji kazi wanayo, kama mchezaji hujiamini au hauko makini mtakuwa mnakula chuma tu. Kwa jinsi Leverkusen ilivyokuwa inacheza, Iko so comfortable na mpira, beki anaweza kupiga Hadi pasi kumi hapo Kwa hapo. Beki na Viungo Madrid naona Bado sana, kule mbele wanakimbia kama Mbuzi zilizotoka Bandani. Alonso hatakiwi kucheka na Kima.
Timu bado haina muunganiko hii, ni wanakimbiakimbia tu.
Kuanzia mabeki mpaka viungo wanaviwango vya kawaida tu..yaan kama hawatosajiri vizuri basi msimu ujao mateso yako palepale.
 
Courtois amekiri kuwa hawakufata mpango wa Alonso, ni aibu sana.

Ngoja tuone mabadiriko ambayo Alonso amesema, bila shaka huenda kuna wachezaji wakakalia mbao ndefu sana wasipokuwa makini.
 
Jana bekinza madrid zilikula urojo kabla ya game, maana makosa ya kitoto kabisa. Na yule ascensio anachomesha kweli kweli
 
Vipigo vinatunyemelea kwa msimu wa pili mfululizo
Mechi ya jana nauhakika itakuwa imemuonyesha Alonso namna gani afanye ili kikosi kiwe imara.

Niwe mkweli tu sikuwa na tumaini lolote la ushindi siku ya jana, PSG imetengenezwa vizuri sana.
 
Back
Top Bottom