pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Hii timu yetu bado maeneo mawili ya msingi ni tatizo,beki ya kushoto na eneo la kiungo,kuanzia ukabaji hadi ushambuliaji..
Eneo la kiungo ukabaji bado wimbi la uchovu linawasumbua hawa wachezaji wetu,kuendelea kutegemea Tchoumeni nikujidanganya,ni average player na pia Jude hana kasi ambapo mpira wa sasa unahitaji watu wenye kasi na wanaofanya maamuzi sahihi na kwa haraka,eneo hilo ubunifu hakuna,lakini pia ukiangalia Rodrigyo anavyocheza na Vin Jr hakuna tofauti na msimu uliopita,wanajitenga sana na wengine na hii inapelekea timu inaposhambuliwa inakuwa ni rahisi sana kufika eneo la goli letu.
Kwa hiyo kwa mwendo huu kwa kwel na viwango hivi sioni mabadiliko kwa mechi za karibuni.
Eneo la kiungo ukabaji bado wimbi la uchovu linawasumbua hawa wachezaji wetu,kuendelea kutegemea Tchoumeni nikujidanganya,ni average player na pia Jude hana kasi ambapo mpira wa sasa unahitaji watu wenye kasi na wanaofanya maamuzi sahihi na kwa haraka,eneo hilo ubunifu hakuna,lakini pia ukiangalia Rodrigyo anavyocheza na Vin Jr hakuna tofauti na msimu uliopita,wanajitenga sana na wengine na hii inapelekea timu inaposhambuliwa inakuwa ni rahisi sana kufika eneo la goli letu.
Kwa hiyo kwa mwendo huu kwa kwel na viwango hivi sioni mabadiliko kwa mechi za karibuni.
