Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Huwa nakataa mtu anayesema Tchouameni kiungo wa kawaida tatizo la Madrid ni namba 8 na 10 , mfano Bellingham ni more a runner kuliko play maker na kingine Valverde ni average player anayelindwa na moment za kufunga kwa uwezo wake kushoot
 
Huwa nakataa mtu anayesema Tchouameni kiungo wa kawaida tatizo la Madrid ni namba 8 na 10 , mfano Bellingham ni more a runner kuliko play maker na kingine Valverde ni average player anayelindwa na moment za kufunga kwa uwezo wake kushoot

Ukweli mtupu, ila unaweza kuishia kutukanwa. Tatizo la madrid katikati Ni Jude na Valverde.
 
Hii timu yetu bado maeneo mawili ya msingi ni tatizo,beki ya kushoto na eneo la kiungo,kuanzia ukabaji hadi ushambuliaji..

Eneo la kiungo ukabaji bado wimbi la uchovu linawasumbua hawa wachezaji wetu,kuendelea kutegemea Tchoumeni nikujidanganya,ni average player na pia Jude hana kasi ambapo mpira wa sasa unahitaji watu wenye kasi na wanaofanya maamuzi sahihi na kwa haraka,eneo hilo ubunifu hakuna,lakini pia ukiangalia Rodrigyo anavyocheza na Vin Jr hakuna tofauti na msimu uliopita,wanajitenga sana na wengine na hii inapelekea timu inaposhambuliwa inakuwa ni rahisi sana kufika eneo la goli letu.

Kwa hiyo kwa mwendo huu kwa kwel na viwango hivi sioni mabadiliko kwa mechi za karibuni.
Sio uchovu nyie Madrid hamna viungo kbsa, Visca El Club du Barca
 
Unaona hata takwimu zinavyoonyesha namna timu ilivyo slow kufanya recovery ya mpira,idadi ya pass zilizokamilika,na hapo ukiangalia vyema tumepiga backpass nyingi na pia uwezo wakupossess mpira ndio hovyo kabisa na mbaya zaidi timu ina vijana ila haikimbii kabisa...na kufanya mashambulizi ni hovyo,angalia idadi ya kona hapo hatuna hata moja,kitu pekee tunachoweza nikucheza rafu nyingi.
View attachment 3375371
Mbuzi weupe hamuwez hata kupossess ,oooh nyie nyau kwel😂🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣TRENT mmepigwa kenge nyie nawachukia mno akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
Mi nilikuwa najiuliza siku nyingi sana hivi huyu Trent anahakika kama Los Blancos watamvumilia weakness zake za kiulinzi kama tulivyomvumilia sisi. aya mwanakulifind mwanakuliget the future is exciting
 
Back
Top Bottom