Msimu upi huo ambao tumemaliza bila kombe mkuu?Watu wametoka trophyless wanakuja kufarijiana wana uefa 15 ππππππππ
Golikipa ilibidi asimame tu hivyo hivyo., bonge moja la goliMbappΓ© scores his La Liga 31st goal this season! Real Madrid 2-0 Real Sociedad
View attachment 3344291
Ina maana Lucas Vazquez ndio bado yupo yupo sana aka ni aje aisee, mbona sielewi, anataka kubaki acheze nafasi ipi kwanza!? Ni vyema na yeye akaangalia upande wa Uarabuni akavune na yeye pesa za mwisho mwisho.
Tungetoboa UEFA na kubeba kombe la ligi alikuwa anaenda kuchukua Ballon D'or.MbappΓ© scores his La Liga 31st goal this season! Real Madrid 2-0 Real Sociedad
View attachment 3344291
Ameagwa mbona.Ina maana Lucas Vazquez ndio bado yupo yupo sana ama ni aje aisee, mbona sielewi, anataka kubaki acheze nafasi ipi kwanza!? Ni vyema na yeye akaangalia upande wa Uarabuni akavune na yeye pesa za mwisho mwisho.
Sikuona hilo tukio aisee, lilinipita man, sio mbaya, Vallejo pia na yeye atupishe.Ameagwa mbona.
Ameagwa na yeye,sema labda hakuwekwa mbele sana kama kocha na Luca...ila nae ni baba jeni bye bye.Ina maana Lucas Vazquez ndio bado yupo yupo sana ama ni aje aisee, mbona sielewi, anataka kubaki acheze nafasi ipi kwanza!? Ni vyema na yeye akaangalia upande wa Uarabuni akavune na yeye pesa za mwisho mwisho.
Hata mimi hii taarifa nimeiona njema kwa mtazamo huo.Ya Raul niliisahau, ila jamaa ameondoka Castilla, kwangu nimeona ni jambo jema, maana akipata team za ligi kuu ataongeza maarifa zaidi, ninadhani alidhani kuwa angemrithi Ancelloti ila imekuwa tofauti., ninaamini atakuja kupata nafasi ya kuifua Real Madrid huko mbeleni.