Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mi nilikuwa najiuliza siku nyingi sana hivi huyu Trent anahakika kama Los Blancos watamvumilia weakness zake za kiulinzi kama tulivyomvumilia sisi. aya mwanakulifind mwanakuliget the future is exciting
 
Alonso alikua anataka striker mmoja wa kati,

kwanini asiende na huyu huyu Gonzalenz mbona dogo yupo vizuri
 
🤣🤣🤣🤣🤣TRENT mmepigwa kenge nyie nawachukia mno akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
viva madrid, Trent is cooking 🔥 🔥
FB_IMG_17517534434748349.jpg
 
Back
Top Bottom