Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,614
- 2,732
Sijawahi kutukana mtu hasa mitandaoni labda kujibizana kwa kuelekezana pale tunapotofautiana mitazamo.Mulinitukana sana, naona tunaanza kuongea lugha moja
Sijawahi kutukana mtu hasa mitandaoni labda kujibizana kwa kuelekezana pale tunapotofautiana mitazamo.Mulinitukana sana, naona tunaanza kuongea lugha moja
Alonso alikua anataka striker mmoja wa kati,
kwanini asiende na huyu huyu Gonzalenz mbona dogo yupo vizuri
Zama FAWANEWS.SCNaombeni link wakuu nicheki game.
Poa.Zama FAWANEWS.SC
Nao watu wawil vitasa wamekula redSasa beki wetu mpya kitasa cha maana kabisa amekula umeme,na hawa PSG walivyo wamoto si tutakula nyingi sisi.
viva madrid, Trent is cooking 🔥 🔥🤣🤣🤣🤣🤣TRENT mmepigwa kenge nyie nawachukia mno akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
Kuna watu wanamsema vibaya tu huyu jamaa ila kazi kubwa aliyopewa na Alonso anaifanya ipasavyo.viva madrid, Trent is cooking 🔥 🔥
View attachment 3395386
Baba watatu niaje arifuKuna watu wanamsema vibaya tu huyu jamaa ila kazi kubwa aliyopewa na Alonso anaifanya ipasavyo.
kaka hydroxo dua zetu zimejibiwa bhana, let's buy the ticketsIkimpendeza muumba wa ulimwengu punda weupe wakutane na PSG.
Ngoja tuone kipute kitakuwaje.kaka hydroxo dua zetu zimejibiwa bhana, let's buy the tickets
viva madrid, Trent is cooking 🔥 🔥
View attachment 3395386
Kuna watu wanamsema vibaya tu huyu jamaa ila kazi kubwa aliyopewa na Alonso anaifanya ipasavyo.
Ni unyama mwingi sana.Baba watatu niaje arifu