Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,209
- 20,956
Ngapi ngapiHuyu yamal atamkimbiza mbape spain
😀😀
Nachek game france vs spain
Hawa negro wa ufaransa wanabutua tu😀
Ngapi ngapiHuyu yamal atamkimbiza mbape spain
😀😀
Nachek game france vs spain
Hawa negro wa ufaransa wanabutua tu😀
France wamekula 5Ngapi ngapi
Kula chuma hiko Los Blancos:
![]()
Xabi Alonso has quietly solved what frustrated Real Madrid fans for years
I feel a revolution in my veins. As if Xabi Alonso weren't just a beloved former player, he’s already earning praise as the club’s manager, even before his firstherealchamps.com
Kivipi mkuu? Wangekuwa wa ovyo wangekuwa wanachukua makombe kila kukicha?washabiki wa madrid wengi wao ni vijana wa ovyo sana
Kivipi mkuu? Wangekuwa wa ovyo wangekuwa wanachukua makombe kila kukicha?
Kwa timu yenye njaa ya makombe hiyo ni kawaida kabisa mkuu.timu ndio inayochukua makombe sio mashabiki.
Unawakuta wanalalamika kuwa walikuwa katika hali ngumu eti sasa hivi ndio wanategemea kupata raha. timu iliyobeba UEFA 6 kwenye miaka 10 inakuaje na hali ngumu? ukiwakuta mitandani unawakuta wanawatukana sana Zidane na Carlo kuwa sio makocha eti sahivi ndio wamepata kocha. wewe uanahisi ni watu wakawaida hao?
Kwa timu yenye njaa ya makombe hiyo ni kawaida kabisa mkuu.
Trent nae anachelewa kurecover nafasi yake au naona vibaya?Bado beki zetu upande wa kushoto ni uchochoro.
Upo sahihi,hilo goal walilofunga likakataliwa ni makosa yake.Trent nae anachelewa kurecover nafasi yake au naona vibaya?
Yani naona Beki zetu bado zitaendelea kutugharimu hata msimu ujao, hatuwezi kabisa kuzuia tusifungweHuyu Ansencio nae ni fala...sasa maamuzi gani yale yakukumbatia mtu kwenye box
Kweli, uyu Dean Hujsein anapiga pasi nzuri sana naonaUpo sahihi,hilo goal walilofunga likakataliwa ni makosa yake.
Huyu dogo yupo vizuriKweli, uyu Dean Hujsein anapiga pasi nzuri sana naona