Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kivipi mkuu? Wangekuwa wa ovyo wangekuwa wanachukua makombe kila kukicha?

timu ndio inayochukua makombe sio mashabiki.

Unawakuta wanalalamika kuwa walikuwa katika hali ngumu eti sasa hivi ndio wanategemea kupata raha. timu iliyobeba UEFA 6 kwenye miaka 10 inakuaje na hali ngumu? ukiwakuta mitandani unawakuta wanawatukana sana Zidane na Carlo kuwa sio makocha eti sahivi ndio wamepata kocha. wewe uanahisi ni watu wakawaida hao?
 
timu ndio inayochukua makombe sio mashabiki.

Unawakuta wanalalamika kuwa walikuwa katika hali ngumu eti sasa hivi ndio wanategemea kupata raha. timu iliyobeba UEFA 6 kwenye miaka 10 inakuaje na hali ngumu? ukiwakuta mitandani unawakuta wanawatukana sana Zidane na Carlo kuwa sio makocha eti sahivi ndio wamepata kocha. wewe uanahisi ni watu wakawaida hao?
Kwa timu yenye njaa ya makombe hiyo ni kawaida kabisa mkuu.
 
Kwa timu yenye njaa ya makombe hiyo ni kawaida kabisa mkuu.

kabla ya hayo makombe sita hiyo njaa yao ilikuwa wapi? unajua Madrid ilipita miaka mingapi bila ya kubeba hata kombe moja?

kinachowatesa wao madogo ni shibe, wametake success for granted wanahisi kupata mafanikio kwao ni kama kitu cha automatic so hawaheshima nguvu za watu waliochangia kufanikisha. Ila watayaona tu. wengi wao hawajawahi kuiona madrid in straggling days ndio mana wanaongea lugha za kipuuzi kama hizo.
 
Dar esaalam mmekumbukwa
 

Attachments

  • Screenshot_20250618-162421.jpg
    Screenshot_20250618-162421.jpg
    338 KB · Views: 12
For the first time baada ya usajili na kusafisha benchi la ufundi ngoja tuone namna tumeimarika.
 
Back
Top Bottom