hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,470
- 12,002
Ngoja tuone kipute kitakuwaje.kaka hydroxo dua zetu zimejibiwa bhana, let's buy the tickets
Lakini naamini hawana timu ya kumzuia PSG.
Yule Hakimi ukiambiwa ni beki wa kulia unakataa.
Jana ile assist yake kwa Dembele unaona beki anafanya vitu ambavyo hata winger anashindwa kufanya.
Kati kati ya wachezaji watatu Kapalua katia assist Safi sana.
Ndugu zetu washikilie bomba wasije kutuaibisha kama Inter.