Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,744
- 9,058
Msimu huu umekuwa wa hovyo sana.
Nyie masolokoto kuanzia kesho mtatulipa pound laki tatu na nusu kila siku mpaka mkataba wa TAA uishe mlidhani mtampata bureKenge nyie mukome
Alvaro Carreras ndiyo target kwa upande wa LB na kwa upande wa viungo inasemekana Alonso amempendekeza Angelo Stiller.Bado beki wa kushoto, na viungo wawili- hapa ndipo pa moto sasa!!
Huyu Angelo sijawahi kumfuatilia., ila tunahitaji viungo wawili, Alonso anataka apige ramli kama Ancelloti, ama anataka Nico Paz akae pale juu? Maana kuna tetesi kuwa club itamrudisha.,Alvaro Carreras ndiyo target kwa upande wa LB na kwa upande wa viungo inasemekana Alonso amempendekeza Angelo Stiller.
Tusubiri tuone.
Naona wanampango huo, katika mechi 35 alizocheza amehusika katika magoli 14, magoli 6 na assist 8.Huyu Angelo sijawahi kumfuatilia., ila tunahitaji viungo wawili, Alonso anataka apige ramli kama Ancelloti, ama anataka Nico Paz akae pale juu? Maana kuna tetesi kuwa club itamrudisha.,
Upande ule yupo Mendy na Fran Gracia.Bado beki wa kushoto, na viungo wawili- hapa ndipo pa moto sasa!!
Mbona kama unatuombea tena mabaya Mzee., Mendy majeraha yamemuandama kweli kweli, huyo Fran Garcia hata hasomeki, mbio nyingi na nguvu ila ufanisi ni mdogo., so anahitajika beki akienda kushambulia aonyeshe kitu na akizuia aonyeshe kitu.Upande ule yupo Mendy na Fran Gracia.
Pameji tosheleza.
Jitambulishe kwanza we ni shabiki wa timu gani? tuku_scan kama unastahili kutufokea.Kenge nyie, hivi ilikuaje mkamuuza Hakimi ?
Kijana wenu mbappe anakimavi na UEFA, ameondoka wenzake wanabeba, mmeongeza na kimavi kingine TAA aje kuwachoma
Anakuja anabweka bweka hapa tu hapa 😆😆😆Jitambulishe kwanza we ni shabiki wa timu gani? tuku_scan kama unastahili kutufokea.
Hakimi si mlikua nayeMadrid tukipata mtu kama Vitinha, Hakimi na Nuno tumeula
Si vibaya akirudiHakimi si mlikua naye
Wan bisaka atawafaa SanaHakimi si mlikua naye
Amkeni ,hiyo ni ndoto,na next year sisi Barca tutawatesa sana nyie Mbuzi wenye rangi nyeupe 😂😂Madrid tukipata mtu kama Vitinha, Hakimi na Nuno tumeula
Sema huwa mnafurahisha sana vile mnaacha uzi wenu na kuja kupiga kelele huku, hii inadhihirisha ukubwa wetu.Amkeni ,hiyo ni ndoto,na next year sisi Barca tutawatesa sana nyie Mbuzi wenye rangi nyeupe 😂😂