Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Chama la Wana
Screenshot_20250519-125544.jpg
 
Real Madrid C. F. and our captain Luka Modrić have agreed to bring an end to his unforgettable time as a player at our club following the Club World Cup, which the team is preparing to play starting 18 June in the United States.

Real Madrid wishes to express its immense gratitude and appreciation for a player who has become a true legend both of our club and world football
 
KILA LA KHERI LUCA MODRIC.

Tangu 2021, Real Madrid wamekua wakimuaga captain wao baada ya msimu kuisha.

  • 2021: Ramos
  • 2022: Marcelo
  • 2023: Benzema
  • 2024: Nacho
  • 2025: Modric.

Tusubiri 2026 huenda Ikawa kwa Carvajal.
 
Hiyo ni baadhi ya taarifa kutoka kwenye website ya club.
Ninaona ni sawa tu, wakati umefika na ni wakati sahihi, japokuwa lengo lake ilikuwa kunyanyua kombe kama Captain.

bado ndio best midfield wa timu, vijana wenu mbwembwe nyingi uwezo mdogo
 
Jambo zuri ni kwamba wao wenyewe wanafahamu ukarabati wetu huwa hauchukui zaidi ya misimu mitatu.
Sasa umefika wakati tufungue chuo cha mipango, ili hao wengine waje kujifunza kwetu, na kwenye hii special thread kabla mtu hajatutania kwanza ajitambulishe ni shabiki wa timu gani, ili tum_scan kuona km anapaswa kututania! au laa.
 
Sasa umefika wakati tufungue chuo cha mipango, ili hao wengine waje kujifunza kwetu, na kwenye hii special thread kabla mtu hajatutania kwanza ajitambulishe ni shabiki wa timu gani, ili tum_scan kuona km anapaswa kututania! au laa.
Kwa kweli mpaka sasa sijaona hata wakututania zaidi ya wapiga kelele tu maana hakuna aliyefikisha hata makombe 10 ya UEFA.
 
Back
Top Bottom