Babu anaondoka na ndoo nyimgi kuliko wenzie waliokomaa pale Spurs.Hiyo ni baadhi ya taarifa kutoka kwenye website ya club.
Ninaona ni sawa tu, wakati umefika na ni wakati sahihi, japokuwa lengo lake ilikuwa kunyanyua kombe kama Captain.
Siyo mbaya emechukua UEFA Super Cup na FIFA Intercontinental Cup.Hiyo ni baadhi ya taarifa kutoka kwenye website ya club.
Ninaona ni sawa tu, wakati umefika na ni wakati sahihi, japokuwa lengo lake ilikuwa kunyanyua kombe kama Captain.
Hiyo ni baadhi ya taarifa kutoka kwenye website ya club.
Ninaona ni sawa tu, wakati umefika na ni wakati sahihi, japokuwa lengo lake ilikuwa kunyanyua kombe kama Captain.
Acha porojo, ukiona real madrid tumecheza fainali ya champions league mara 18, na mara 15 tumebeba kombe, tumekosa mara 3 tu, basi weka heshima pale ukituona tunafanya mipango yetu.Vipigo fc, Beki TAA Raphinha ana hatric yake
Atulie kama maji mtungini, wakubwa tunafanya maboresho.Acha porojo, ukiona real madrid tumecheza fainali ya champions league mara 18, na mara 15 tumebeba kombe, tumekosa mara 3 tu, basi weka heshima pale ukituona tunafanya mipango yetu.
Ukarabati ukitiki gari likawaka, Watateswa watu ndani ya miaka 10 uefa 5 tena.Atulie kama maji mtungini, wakubwa tunafanya maboresho.
Jambo zuri ni kwamba wao wenyewe wanafahamu ukarabati wetu huwa hauchukui zaidi ya misimu mitatu.Ukarabati ukitiki gari likawaka, Watateswa watu ndani ya miaka 10 uefa 5 tena.
Sasa umefika wakati tufungue chuo cha mipango, ili hao wengine waje kujifunza kwetu, na kwenye hii special thread kabla mtu hajatutania kwanza ajitambulishe ni shabiki wa timu gani, ili tum_scan kuona km anapaswa kututania! au laa.Jambo zuri ni kwamba wao wenyewe wanafahamu ukarabati wetu huwa hauchukui zaidi ya misimu mitatu.
Kwa kweli mpaka sasa sijaona hata wakututania zaidi ya wapiga kelele tu maana hakuna aliyefikisha hata makombe 10 ya UEFA.Sasa umefika wakati tufungue chuo cha mipango, ili hao wengine waje kujifunza kwetu, na kwenye hii special thread kabla mtu hajatutania kwanza ajitambulishe ni shabiki wa timu gani, ili tum_scan kuona km anapaswa kututania! au laa.
Miaka inapita wanashindwa kumtoa ac milan nafasi ya pili.Kwa kweli mpaka sasa sijaona hata wakututania zaidi ya wapiga kelele tu maana hakuna aliyefikisha hata makombe 10 ya UEFA.
Kabla hawajatengeneza uadui na sisi walipaswa waanza na AC Milan kwanza.Miaka inapita wanashindwa kumtoa ac milan nafasi ya pili.