Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,509
- 12,633
Huu ndio muda wa kutoa sumu zenu mwilini utumieni vizuri! ila kaa ukijua kua all timer champions ni RMAHakuna miracle kwenye football viungo camavinga touchamen valvede mchukue uefa ,uefa ipi ?na hapo Bado arsenal anawakanda nje ndani ,team haieleweki inacheza mfumo upi watu wanakimbia kimbia kama vibaka.
Militao panchathe likes of Dean Huijsein ambaye anapatikana kwa 42 m tu. perez anamtaka kwa udi na uvumba huyu dogo na sio kukaa na feran mendy. Millitao kila siku hospital kama mjamzito
Kote tunakandwa.
Kwa kweli zimemvuruga haswaa, kuliko hata kipa wa Madrid,mchezaji kuchukuwa kikombe flani haimaanishi kuwa yeye ni bora, nicolas tagliafico na lisandro martinez wa argentina wana world cup, je wao ni bora kuliko Vini?. tumia akili basi, au free kick za Rice zimekuvuruga?
Milio imedhaminiwa na Declan Ricearisenyo msindikazaji akichukua ubigwa wa uefa msimu najamba samaki
Bado naamini madrid anatolia nusu final
Matokeo hayashangazi sana , cha kumlaumu kocha ni kumpanga Alaba , kutomruhusu Vini kucheza full left wing until is too late badala yake mda mwingi amecheza akiwa ndani ,
ukweli ni kwamba Madrid ina tatizo la defence na hasa mid , kwa sasa kwenye mid ni empty kabisa , hakuna link nzuri kati ya attacking na mid , Tchouamen na Cebballos somehow wamesaidia sana miez mitatu iliyopita ila wote kwa sasa ni pancha , Hata Bernabeu sioni comeback yyte , Hakuna Mid ya kusaidia hyo miujiza, Madrid ameaga mashindano , kikubwa hapo ni kubadri kocha na kuuza baadhi ya wachezaji garasa!!! msimu mbaya huu
Matokeo hayashangazi sana , cha kumlaumu kocha ni kumpanga Alaba , kutomruhusu Vini kucheza full left wing until is too late badala yake mda mwingi amecheza akiwa ndani ,
ukweli ni kwamba Madrid ina tatizo la defence na hasa mid , kwa sasa kwenye mid ni empty kabisa , hakuna link nzuri kati ya attacking na mid , Tchouamen na Cebballos somehow wamesaidia sana miez mitatu iliyopita ila wote kwa sasa ni pancha , Hata Bernabeu sioni comeback yyte , Hakuna Mid ya kusaidia hyo miujiza, Madrid ameaga mashindano , kikubwa hapo ni kubadri kocha na kuuza baadhi ya wachezaji garasa!!! msimu mbaya huu
kuna ulazima valverde arudishwe kati
Hakuna miracle kwenye football viungo camavinga touchamen valvede mchukue uefa ,uefa ipi ?na hapo Bado arsenal anawakanda nje ndani ,team haieleweki inacheza mfumo upi watu wanakimbia kimbia kama vibaka.
Ht tukienda tunaongoza 1-0 arsenal kaishaHapana kabisa, nina 99%mechi imeshakwisha
Ht tukienda tunaongoza 1-0 arsenal kaisha
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa.without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Tupeni TchouKwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.