HT: Kwa uchezaji huu hata tucheze dakika 1000 hatupati goal,timu inacheza very slow...wakat wakwenda kupiga counter badala yakufocus na goal,ndio kwanzaa timu inatanua kutegemea kupiga cross wakat hawa jamaa hapa nyuma ni warefu wote.
Kama kawaida beki zetu za kati zinategeana kwenye kuokoa mipira ya kona.
Babu Modric anapiga back&side passes nyingi mno,hawa jamaa wa beki zao za kati zinakuwa zimerelax mnoo,hii game kama tungecheza kwa speed kubwa ya mtafute mtafute tungeshinda kipindi hiki hiki cha kwanza,kwa sababu sababu beki zao pia zinajikoroga.
Vin Jr kwenye game za Valencia hatakiwi kupiga hata faulo ndogo kwa sababu ana ugomvi nao wa miaka yote ambapo huwa hafocus na anachokifanya rather anawaza kwenda kushangilia kuwaumiza washabiki wa Valencia.