Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,937
- 2,837
Duh kwa mbinde ushindi umepatikana.... kipindi cha pili chote roho juuNa hizi sub ndio naona zinaharibu kabisa
Duh kwa mbinde ushindi umepatikana.... kipindi cha pili chote roho juuNa hizi sub ndio naona zinaharibu kabisa
Atletico ashinde ikishindikana atoe hata sare tu basiTumeshinda lakini wachezaji wetu walionekana kichoka sana, game ingeendelea kidogo tu jamaa wangechomoa.
Kesho Barca na Atletico sisi yetu macho
Waki draw itapendezaTumeshinda lakini wachezaji wetu walionekana kichoka sana, game ingeendelea kidogo tu jamaa wangechomoa.
Kesho Barca na Atletico sisi yetu macho
Mkuu hii game atletico anapaswa ashinde wakitoa sare bado barca anakuwa na faida sababu ya kiporo.Waki draw itapendeza
Akitoa sare itakua poa endapo nasi tukikutana nae tumfunge kabisa.Mkuu hii game atletico anapaswa ashinde wakitoa sare bado barca anakuwa na faida sababu ya kiporo.
Kabisa mkuu, mzee jana amelalamika na kuwaambia Laliga kama wakitupangia tena game kwa muda wa chini ya masaa 72 hataingiza timu uwanjani.Akitoa sare iþakua poa endapo nasi tukikutana nae tumfunge kabisa.
Naona VARdristas mnapeana matumaini na kuota ndoto za mchana.Akitoa sare iþakua poa endapo nasi tukikutana nae tumfunge kabisa.
We mbona ukushinda game yako au hatukucheza?Mkuu hii game atletico anapaswa ashinde wakitoa sare bado barca anakuwa na faida sababu ya kiporo.
Naona VARdristas mnapeana matumaini na kuota ndoto za mchana.
Keep dreaming.
Unadefend kwa kutegemea matokeo ya mwingine yakunufaishe wewe?We're defending champions unasema tunaota mchana? Umeanza lini kufuatilia football?
Huyu ndo yule cha utoto ninayemzungumziagaWe're defending champions unasema tunaota mchana? Umeanza lini kufuatilia football?
Acha kuteseka mkuu.We mbona ukushinda game yako au hatukucheza?
Mfupa umekushinda wewe fisi unamtupia kibogoyo.
Unadefend kwa kutegemea matokeo ya mwingine yakunufaishe wewe?
We ulishindwaje kutufunga?
Pambana ushinde mechi zako ndo zina uhakika wa 100% kukupa ubingwa.
Mambo ya waki tuki waachie wengine.
Kwamba tangu msimu uanze nyinyi ndo mnaongoza?We've been la liga leader tangu msimu uanze, sasa kama hatushindi mechi zetu tungekuwa hapo? Kitu cha kufanya ukija hapa punguza kiherehere na uongee football
Hapana siteseki mkuu.Acha kuteseka mkuu.
Kwamba tangu msimu uanze nyinyi ndo mnaongoza?
Hii ya nyinyi kuongoza tangu msimu uanze ndo football unayoizungumzia?
Kwamba tangu msimu uanze nyinyi ndo mnaongoza?
Hii ya nyinyi kuongoza tangu msimu uanze ndo football unayoizungumzia?
Jana ndo tumeshinda DE LA CERAMICA tangu 2017 😃Hawa watu kila siku huwa wanatusumbua hapa nyumbani kwao. Msimu uliopita chupuchupu ndio tukatoa draw
Jana ndo tumeshinda DE LA CERAMICA tangu 2017 😃