Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,557
- 2,598
Msimu uliopita sometimes alikua anakimbilia sana kushoto na alifanya vizuri.Rodrigyo utampenda zaidi aje kucheza huku kulia sasa. Kule kushoto sio kwake kule
Msimu huu baada ya ujio wa mbappe ndio ikabidi akomae na kulia ambako alikua hajazoea hapo mwanzo
Ila mpaka sasa kapatendea haki.