pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Huyu mtoto Vin ni mavi sana wakat mwingine,timu wakat inahitaji matokeo yeye ndio kwanzaaa anaanzisha ligi ya mdomo ndani.
Sana Mkuu., ndio tunaaga La liga hivyo mdogo mdogoTumestahili kupoteza hii mechi tumecheza hovyo
Mkuu Cesar Caspar matokeo mechi ya betis imeniuma sana.Jamaa wamesawazisha.,
game inaisha sare hiiKuna mabadiliko kidogo kwenye game ya leo, kati kati ya Uwanja atasimama Tchouameni na wenzie Camavinga na Brahim, game iliyopita Brahim alipotea sana, sijui leo itakuwaje.
Hiki kiungo chetu Cha Brahim, Tchouameni na Cama kinatia mashaka sana.Kuna mabadiliko kidogo kwenye game ya leo, kati kati ya Uwanja atasimama Tchouameni na wenzie Camavinga na Brahim, game iliyopita Brahim alipotea sana, sijui leo itakuwaje.
Daah hii game labda tutegemee counta.Kuna mabadiliko kidogo kwenye game ya leo, kati kati ya Uwanja atasimama Tchouameni na wenzie Camavinga na Brahim, game iliyopita Brahim alipotea sana, sijui leo itakuwaje.