Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Leo kulikuwa na El Classico ya akina Dada., kwa mara ya kwanza tumewafunga Barcelona, tena wakiwa kwao., Shukran za kipekee kwa Mwanadada Caroline Weir., ametokea bench na goli mbili za dakika za jioni.
#HalaMadrid
 
Leo kulikuwa na El Classico ya akina Dada., kwa mara ya kwanza tumewafunga Barcelona, tena wakiwa kwao., Shukran za kipekee kwa Mwanadada Caroline Weir., ametokea bench na goli mbili za dakika za jioni.
#HalaMadrid
Nilipenda Assist ya goli la pili toka kwa Linda caicedo..

Alijua ku force kawakusanya mabeki pembeni then kaachia Mali kwenye box.

Hongera kwao wameshinda kwa mara ya kwanza tangu waanze kukutana
 
Baadhi ya wachezaji wa France hua siwaelewagi kabisa kichwani mwao.

Sijui ndio ubishoo au ndio overrated wanaita.

Mfano Dembele,Olise na wenzie, wana mapepe sana.

Luka modric kamkalisha mmoja kwa chenga ya mwili nikaona kijana katulia kwanza.
 
Nyie vibonde wa Arsenal……mjiandae huko laliga !Uefa huku mmeingia cha kike mnashonwa tu
 
Huyo wa bournemouth chelsea wanamtaka pia.
Mwenyewe amesema ndoto yake ni kutua madrid, pia madri kwa sasa wana wachezaji wachache sana raia wa Hispania, ukimtoa carvajal majeruhi, lucas vasquez mchomaji, Ceballos majeraha na Acensio kitasa, hakuna tena mhisapania alie penya.

So Inasemeka sera ya perez kwa sasa ni kuongeza wachezaji vujana hasa toka Spain pale pale.

Ko hili linaweza kua chaguo sahihi kwa madrid sidhani kama watashindwa kukomalia
 
Mwenyewe amesema ndoto yake ni kutua madrid, pia madri kwa sasa wana wachezaji wachache sana raia wa Hispania, ukimtoa carvajal majeruhi, lucas vasquez mchomaji, Ceballos majeraha na Acensio kitasa, hakuna tena mhisapania alie penya.

So Inasemeka sera ya perez kwa sasa ni kuongeza wachezaji vujana hasa toka Spain pale pale.

Ko hili linaweza kua chaguo sahihi kwa madrid sidhani kama watashindwa kukomalia
Uzuri ni kwamba mchezaji hushawishika hata bila kushawishiwa na mtu kuchezea RM na ndiyomaana huwa tunafanikiwa kupata wachezaji wanaokuwa na uchungu na club sababu ya mapenzi waliyonayo hata kabla ya kujiunga na club.

Natumai na haya madili yanayoongelewa yatafanikiwa.
 
Back
Top Bottom