Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,614
- 2,732
Baadhi ya wachezaji wa France hua siwaelewagi kabisa kichwani mwao.
Sijui ndio ubishoo au ndio overrated wanaita.
Mfano Dembele,Olise na wenzie, wana mapepe sana.
Luka modric kamkalisha mmoja kwa chenga ya mwili nikaona kijana katulia kwanza.
Sijui ndio ubishoo au ndio overrated wanaita.
Mfano Dembele,Olise na wenzie, wana mapepe sana.
Luka modric kamkalisha mmoja kwa chenga ya mwili nikaona kijana katulia kwanza.