Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Sawa.Hapana siteseki mkuu.
Nyinyi mnayeomba Atletico ashinde au a draw hili mrudi juu ya msimamo ndio mnaoteseka.
Na mtateseka zaidi tukimpiga atletico goli za kutosha.
Sawa.Hapana siteseki mkuu.
Nyinyi mnayeomba Atletico ashinde au a draw hili mrudi juu ya msimamo ndio mnaoteseka.
Na mtateseka zaidi tukimpiga atletico goli za kutosha.
Walichoka sanaIt was about time. Unajua Villarreal hii wanashambulia vizuri lakini defence ni wack. Jana tungekuwa vizuri tungewatandika goli nyingi, lakini uliona wachezaji wetu walivyochoka?
Kenge wakubwa nyie. Eti uchukue ubingww kiungo Shuameni forward rodriygo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
Mkuu pole sana, yaani baada ya siku 3 tu kutolewa Champions league nasikia huko Newcastle anakuburuza saa hizi. Ndio maana huonekani huku wiki hii
hatari sana, inaonekanwa analala tu hata kuamka hataki. Washabiki wa PL hawachelewi kujiua wapendwa wake wawe karibu nae tu
Chagueni timu nyingine sasa.Akitoa sare itakua poa endapo nasi tukikutana nae tumfunge kabisa.
Kwamba you are on top of what?We're on the top of la liga, na hiyo ndio football ninayoongea
Unajifariji eeh.Mimi naziitaga timu za msimu zinapotea miaka kumi zikiibuka bas kelele kibao
Diego Simeone nguvu nyingi akili kidogo.
Asagmhau tena kuhusu la liga na uefa akomae na copa De Rey huko.
Ashachoka uwezo wake umeishia hapo.Yule jamaa sijui anakwama wapi?
Ashachoka uwezo wake umeishia hapo.
Kama pep tu kaishiwa sembuse huyu butua butua.
Na hua anapata tabu sana kwenye mpira wa kutumia akili, angalia alivyokua mteja wa Zidane
Anaogopa hakuna tena timu dunia hii ya kumvumilia kama Hapo alipo.Tatizo kiingereza hajui, angebadilisha upepo England kidogo na mpira wake wa kukaba dakika 90 labda angechukua japo Carabao cup
Diego Simeone nguvu nyingi akili kidogo.
Asahau tena kuhusu la liga na uefa akomae na copa De Rey huko.
Aiseehela nyingi sana ametumia kwenye usajili na katoka na sifuri
Tukimtoa psg final aje yoyotegame ya semi final ya champions leauge ya msimu huu kat ya Real madrid na PSG itakua ngumu sana na nazani ndio game bora ya mwisho yakuitazama iliyobaki msimu huu
game ya semi final ya champions leauge ya msimu huu kat ya Real madrid na PSG itakua ngumu sana na nazani ndio game bora ya mwisho yakuitazama iliyobaki msimu huu