Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kenge wakubwa nyie. Eti uchukue ubingww kiungo Shuameni forward rodriygo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia

Mkuu pole sana, yaani baada ya siku 3 tu kutolewa Champions league nasikia huko Newcastle anakuburuza saa hizi. Ndio maana huonekani huku wiki hii
 
Mkuu pole sana, yaani baada ya siku 3 tu kutolewa Champions league nasikia huko Newcastle anakuburuza saa hizi. Ndio maana huonekani huku wiki hii

hatari sana, inaonekanwa analala tu hata kuamka hataki. Washabiki wa PL hawachelewi kujiua wapendwa wake wawe karibu nae tu
 
hatari sana, inaonekanwa analala tu hata kuamka hataki. Washabiki wa PL hawachelewi kujiua wapendwa wake wawe karibu nae tu

Awekwe chini ya uangalizi maalum. Nimepita kule kwao naona wanatukana wachezaji wao tu. Kupenda timu kama ile ni majonzi ya kujitakia mwenyewe.
 
Akitoa sare itakua poa endapo nasi tukikutana nae tumfunge kabisa.
Chagueni timu nyingine sasa.

Mliyekuwa mnamtegemea tumemchakaza bila huruma.

Ukishindwa leteni timu lenu tulichakaze kwa mara ya tatu mfululizo.
 
Mimi naziitaga timu za msimu zinapotea miaka kumi zikiibuka bas kelele kibao
Unajifariji eeh.

Hii timu bado mnayo sana.

Yamal ana miaka 17.

Pedri 21

Gavi 20

Curbasi 18

Casado 21

Balde 21

Hao wote wana uwezo wa kucheza miaka 10 mbele kwahiyo hii Barca bado mnayo sana.

Na bado project yetu haijakamilika.

Ikikamilika mtatafutana.
 
Ashachoka uwezo wake umeishia hapo.

Kama pep tu kaishiwa sembuse huyu butua butua.

Na hua anapata tabu sana kwenye mpira wa kutumia akili, angalia alivyokua mteja wa Zidane

Tatizo kiingereza hajui, angebadilisha upepo England kidogo na mpira wake wa kukaba dakika 90 labda angechukua japo Carabao cup
 
game ya semi final ya champions leauge ya msimu huu kat ya Real madrid na PSG itakua ngumu sana na nazani ndio game bora ya mwisho yakuitazama iliyobaki msimu huu

Philosophy ya Real Madrid ni one game after onother. Yaani kila game ni tofauti, ndio maana wanabeba ndoo kama hawana akili nzuri. The focus iko kwa Arsenal kwa sasa.
 
Back
Top Bottom