Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,228
- 1,530
Bayern akishakubali hapa kwake, sioni namna yoyote ile anaweza mtoa Madrid nyumbani kwake.
Halla Madrid.
Halla Madrid.
Approach ya mwalimu ipo sahihi. Waache vijana wapige counter attacks. Si unaona mibeki ya Bayern haipandi? Inajua kule mbele kuna vibelenge viwili vya moto. Ila naomba Coman asiingie. Wamuache Sane aendelee kucheza rede zakeNi Ancelloti ameamua kukaa nyuma tu, ila hawa tukiamua kucheza watakula za kutosha, ni ile wasi wasi wa Carlo tu kuwa tukiwaachia nafasi watatufunga, so acha vijana waende vile Mwalimu anataka.
halafu huyo kijana jude ndio wanampigia debe abebe ballon dor dahHapa Modric na Diaz ni lazima, Jude na Tony waende nje
halafu huyo kijana jude ndio wanampigia debe abebe ballon dor dah
Msonge wapi,hakuna kitu hapo,ndio Mwisho wenu hapo,mnataka kujimilikisha kombe,kila siku mshinde nyie tuVazquez kasababisha penalty ya kijinga, ila hakuna shida., bado tunasonga
Tulia kwanza hifadhi maneno,Vini ameshalinganisha mzaniMsonge wapi,hakuna kitu hapo,ndio Mwisho wenu hapo,mnataka kujimilikisha kombe,kila siku mshinde nyie tu
Bayern ndio bingwa,kazibiti zile counter zenu za michongo
Sahihi kabisa ,Dogo bado hajawa fundi wa penatUpigaji wa vini wa penati naona kama sio mzuri sanaa
Upigaji wa vini wa penati naona kama sio mzuri sanaa