Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni Ancelloti ameamua kukaa nyuma tu, ila hawa tukiamua kucheza watakula za kutosha, ni ile wasi wasi wa Carlo tu kuwa tukiwaachia nafasi watatufunga, so acha vijana waende vile Mwalimu anataka.
Approach ya mwalimu ipo sahihi. Waache vijana wapige counter attacks. Si unaona mibeki ya Bayern haipandi? Inajua kule mbele kuna vibelenge viwili vya moto. Ila naomba Coman asiingie. Wamuache Sane aendelee kucheza rede zake
 
Hapa Modric na Diaz ni lazima, Jude na Tony waende nje
halafu huyo kijana jude ndio wanampigia debe abebe ballon dor dah

hii timu ni bora sana ila sometimes unatamani kocha kama alonso au zidane awepo kuwakomaza hao madogo na tatctis kali zakupambana na hawa vigogo kama man city au Bayern ila soo far ni sehemu chache tu inahitaji improvement kweny squad
 
Back
Top Bottom