Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jude alikuwa anarukaruka tu Pale ule usajili mlipigwa kenge nyie
Hapana hana match fitness ya 100% sababu katoka kwenye injury na alikuwa aki train harder huku akiwa na virus flani mwilini

so far na match overload alizo cheza fatigue nilazima kwa kila mwezaji kuwepo out of form muda flani hata hao elites nao huwa wanakuwaga na siku mbaya due to different factors
 
Jude alikuwa anarukaruka tu Pale ule usajili mlipigwa kenge nyie
ila huyo dogo kuwa na PR kubwa yakubeba ballon dor zaidi ya hawa watu hicho kitu kinafikirisha sana yani anatakiwa awe mbeba mbeba timu
japo muda bado upo

kane
mbappe
vinny
jude
foden
wirtz
rodri
lisandro martinez
rodrygo
musiala
halland
saka
salah
c. Palmer
silva
rice
lamine yamal
odegard





hawa ni top contenders lakini list kiuhalisia ipo hivo
 
halafu huyo kijana jude ndio wanampigia debe abebe ballon dor dah

hii timu ni bora sana ila sometimes unatamani kocha kama alonso au zidane awepo kuwakomaza hao madogo na tatctis kali zakupambana na hawa vigogo kama man city au Bayern ila soo far ni sehemu chache tu inahitaji improvement kweny squad
Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.
 
Huyu kipa wetu kama Degea,za mbali mtu akipiga imo ila za papo kwa papo anapangua....ni match za mfululizo sasa washamsoma,mtu akiwa nje tu akipata upenyo akipiga imo.
Ni keeper mzuri sema hakuna mtu aliyekamilika unaemuona mbele ya lunin ni keeper Neuer ambaye ni one of the GOAT goalkeeper lakini nae huwa anafanyaga mistake blunders plus ana uzaifu wake

kwenye goalkeeping kuna katofauti kamoja

sweeper vs stopper

mmoja hapo ni elite in defending na mmoja ni elite in offensive attack

kwa maana hio keeper aki execute style mmoja mpinzani ana pita na nyengine kama uzaifu

lets say lunin acheze sweeper then backline itasogea ikaongeze mashambulizi soo pindi mipira mirefu itakapo pigwa atatokea mbele zaidi ya goli ataiwai kui sweep kupunguza hatari keeper kama huyo uwazi wakumfunga upo mkubwa zaidi ya stopper

stopper akicheeza anakuwa na defensive mind then backline haipandi juu keeper anabaki more like a CB pamoja na beki wake kinachotokea mpinzani asipo kuwa na uwezo wa ku penetrate zaidi ndani ya box itamlazimu ashinde njee zaidi kuliko ndani sababu kuna stopper na defence kali
 
Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.
na hapo ndipo tutakapo kuwa na uhitaji wa vijana hawa wawili
1. florian wirtz au j. musiala
2. xhabi alonso

1 wirtz ni mchezaji bora sana ancheza 7.8.10 japo yeye hupendelea 10 sometimes anachezeshwa role ya false 9
huyu huyu pia wing ya kushoto inamkubali refer mechi ya german
musiala na wirtz wote walicheza wing

sasa pros and cons

1. huyu kwa madrid ataweza kuja kuwa successor wa tony kross kwani chini ya mwalimu bora anaweza mpa majukumu ya 8 kama CM zaidi ya LCM na kwa upande wa RCM mkuu wa kushoto anapewa valverde akiwa successor wa modric then mzani kati una balance CAM anapandisha jude huku DM anashuka Tchomeni hapo midfield inakuwa ime balance na kadrid muda unavozidi kwenda mwalimu anaweza ku opt new various formation kuwa jaribu hao vijana ili wapate their natura position to play

2 upande wa cons

ni wirtz ni right foot na Madrid ina caliber kubwa ya wachezaj right footed ambao wanapambania nafasi kubwa mfano wirtz itakuwa ngumu kumuweka benchi jude sababu jude ni bora defensive wise plus ball carrier mzuri anaweza ku build mchezo na ku intercept sema ni kama mzito mflani hivi hii ni kwasababu carlo anamchezesha upande wa out of position na hauwez na hatuwez muona bora uko juu false 9

2 wirtz itakuwa ngumu sana achezeshewe starter wa LW maana huko kuna upinzani wa rodrygo na vinny plus mfalme ajae anapendelea kucheza LW zaidi ya ST (mbappe)
 
Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.
kwa upande wa mtu sahihi rightfoot midfielder ambaye pia ni both foot player (miguu yote) ni j. musiala which i doubt is highly unlikely kumpata maana itakuwa ni

1 overload ya wachezaji CAM wawili jude musiala dah labda, kocha aje na plans, tofauti maana huyo dogo anaweza kwenda RW vizuri na LW vizuri ni both foot player

2 Bayern are unlikely to loss a player like him ni watapambana wambakize wonderkid wawo since he is worth full of price ni bora sana japo kwa tetesi zilizopo kawagomea kuongeza mkataba rumors zikidai anaweza tua man city aende awe successor wa KDB kati yake na foden au Barcelona

kwa upande wa faida huyu dogo anaweza kuto solve problem tuliyo kuwa nayo kiungo kiraka hapo kati ambae interm kf squad rotation injury na fatigue itakuwa vyema kuwa na mtu wa kukava sehemu zaidi ya 4 CM.. CAM... LW... RW
 
na hapo ndipo tutakapo kuwa na uhitaji wa vijana hawa wawili
1. florian wirtz au j. musiala
2. xhabi alonso

1 wirtz ni mchezaji bora sana ancheza 7.8.10 japo yeye hupendelea 10 sometimes anachezeshwa role ya false 9
huyu huyu pia wing ya kushoto inamkubali refer mechi ya german
musiala na wirtz wote walicheza wing

sasa pros and cons

1. huyu kwa madrid ataweza kuja kuwa successor wa tony kross kwani chini ya mwalimu bora anaweza mpa majukumu ya 8 kama CM zaidi ya LCM na kwa upande wa RCM mkuu wa kushoto anapewa valverde akiwa successor wa modric then mzani kati una balance CAM anapandisha jude huku DM anashuka Tchomeni hapo midfield inakuwa ime balance na kadrid muda unavozidi kwenda mwalimu anaweza ku opt new various formation kuwa jaribu hao vijana ili wapate their natura position to play

2 upande wa cons

ni wirtz ni right foot na Madrid ina caliber kubwa ya wachezaj right footed ambao wanapambania nafasi kubwa mfano wirtz itakuwa ngumu kumuweka benchi jude sababu jude ni bora defensive wise plus ball carrier mzuri anaweza ku build mchezo na ku intercept sema ni kama mzito mflani hivi hii ni kwasababu carlo anamchezesha upande wa out of position na hauwez na hatuwez muona bora uko juu false 9

2 wirtz itakuwa ngumu sana achezeshewe starter wa LW maana huko kuna upinzani wa rodrygo na vinny plus mfalme ajae anapendelea kucheza LW zaidi ya ST (mbappe)
Uchambuzi makini sana 😊
 
Back
Top Bottom