Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Bayern inachukuliwa dhaifu kutokana na uwezo mdogo alioonesha kocha wao, ila ni timu yenye wachezaji wenye uwezo mkubwa sana wanaoweza kuamua game individually, Sane, kimmich, Musiala, Davis ao watu ni hatari sana wanaweza kufanya lolote mda wowote. Panatakiwa umakini wa hali ya juu kabisa.
Ndoivo
 
IMG-20240430-WA0003.jpg

Safari yetu kuelekea fainal inaanza leo katika dimba la Allianz Arena🏟.

Hala Madrid!
 
Carlo Ancelotti ameona muda hauendi aende yeye.

Mapema katoa kikosi chake,
kazi Kwao wapinzani kupangua na kupanga upya.

Anyway naona Uwepo wa Tshouamen leo unafanya Kikosi kiwe kimekailika zaidi ya kile kilichocheza pale Etihad.

" Siri ya mafanikio ya Real Madrid ni kua timu ambayo Kila siku inajitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko ilivyo fanya jana.
FB_IMG_1714497898905.jpg
 
Carlo Ancelotti ameona muda hauendi aende yeye.

Mapema katoa kikosi chake,
kazi Kwao wapinzani kupangua na kupanga upya.

Anyway naona Uwepo wa Tshouamen leo unafanya Kikosi kiwe kimekailika zaidi ya kile kilichocheza pale Etihad.

" Siri ya mafanikio ya Real Madrid ni kua timu ambayo Kila siku inajitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko ilivyo fanya jana.View attachment 2977710
Camavinga leo hajaza sema leo naona full mkoko
 
Back
Top Bottom