Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,585
- 2,664
Kwan yeye hakuniona Madrid kweny mechi zote mbili?Nyie kenge mmeona hattrick ya lewandosky?
Kwan yeye hakuniona Madrid kweny mechi zote mbili?Nyie kenge mmeona hattrick ya lewandosky?
Harry kane yupi aliyekimbia Spurs kisa kukosa makombe na aliko enda pia kaambulia patupu kijana achana Na Real madrid kipara had kesho anatamani kuingia ardhiniSpain nzima hakuna beki wa kumkaba Harry Kane leo mtaeleza yote
Ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama madrid kupaki basi. Ile game ya city mmepaki basi dakika 120Harry kane yupi aliyekimbia Spurs kisa kukosa makombe na aliko enda pia kaambulia patupu kijana achana Na Real madrid kipara had kesho anatamani kuingia ardhini
ao ambao hawakupaki Basi wako wapi saizi wamerudi kucheza mechi zao za ligi ya mbuzi na EvertonNi aibu kubwa kwa timu kubwa kama madrid kupaki basi. Ile game ya city mmepaki basi dakika 120
Hata Halaand mlisema hivyoSpain nzima hakuna beki wa kumkaba Harry Kane leo mtaeleza yote
Hala MadridView attachment 2977355
Safari yetu kuelekea fainal inaanza leo katika dimba la Allianz Arena.
Hala Madrid!
Camavinga leo hajaza sema leo naona full mkokoCarlo Ancelotti ameona muda hauendi aende yeye.
Mapema katoa kikosi chake,
kazi Kwao wapinzani kupangua na kupanga upya.
Anyway naona Uwepo wa Tshouamen leo unafanya Kikosi kiwe kimekailika zaidi ya kile kilichocheza pale Etihad.
" Siri ya mafanikio ya Real Madrid ni kua timu ambayo Kila siku inajitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko ilivyo fanya jana.View attachment 2977710
ila mashabiki wa Arsenal na livepoor mnaangaika sanaLeo mnakufa pale Bavaria
Camavinga leo hajaza sema leo naona full mkoko