Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,557
- 2,598
NdoivoBayern inachukuliwa dhaifu kutokana na uwezo mdogo alioonesha kocha wao, ila ni timu yenye wachezaji wenye uwezo mkubwa sana wanaoweza kuamua game individually, Sane, kimmich, Musiala, Davis ao watu ni hatari sana wanaweza kufanya lolote mda wowote. Panatakiwa umakini wa hali ya juu kabisa.
.