United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
ila mashabiki wa Arsenal na livepoor mnaangaika sanaLeo mnakufa pale Bavaria
ila mashabiki wa Arsenal na livepoor mnaangaika sanaLeo mnakufa pale Bavaria
Camavinga leo hajaza sema leo naona full mkoko
we unaota kama kipara alichemka kwa uwo mziki itakua kina Sane wanadondoka tu Real madrid wame relax ata awachezi kwa pressureNi swala la muda tu bayern tupige kambak
Wembe uliomnyoa kipara gadiola unamshindwaje Tomasi na nywele zakeNi swala la muda tu bayern tupige kambak
timu imecheza kwa utulivu bila pressure kam ndio unatazama mechi kwa mara ya kwanza unaweza dhani ni mechi ya makundiHT: Bayern Munich 0-1 Real Madrid
anautani sana uyu kipara alichemsha kabisa leo Thomas aje auweze huu mzikiWembe uliomnyoa kipara gadiola unamshindwaje Tomasi na nywele zake
Toni kiukweli yupo vizuri, ninakumbuka aliwahi kumpa pasi Vinicius kama ya leo, yaani pasi inatolewa kwa maelekezo.Pasi ya kiwango toka Kwa Toni mpaka dogo kakubali.View attachment 2977765
Babu Toni anapiga mipasi hatari sana. Na hapo bado babu Modric hajaingia. Mbona watatukubali.Pasi ya kiwango toka Kwa Toni mpaka dogo kakubali.View attachment 2977765