Wabongo bwana mna shida sana kujifanya ujuaji mwingi kumbe hamna kitu, sasa timu Ina shida gani Kwahiyo mlitaka wakicheza na timu kubwa wateleze tu kama wako peke Yao uwanjani?Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.
Vazquez leo alilemewa kweli kweli, yule Jamal ni msumbufu na ana speed kweli kweli., halafu Tuchel kuona udhaifu wake akamuongezea Alphonce Davies,
Ile ya Jana Haikua mbali mbona Kama sane alikua kashaingia ndani ya boxHuyu kipa wetu kama Degea,za mbali mtu akipiga imo ila za papo kwa papo anapangua....ni match za mfululizo sasa washamsoma,mtu akiwa nje tu akipata upenyo akipiga imo.
mipira ya mbali anacheza vizur tu kweny game na City kelvin alipiga mashuti mawili Nje ya Box na zote akacheza tena Bunduki kweli kweli njoo kweny game ya 16 bora second leg na RB Leipzg alicheza mipira mingi sana iliyopigwa nje ya Box mleta comment inaonekana sio mtazamaji wa mechi kabisa katazama mechi moja tu analeta generally concolutionIle ya Jana Haikua mbali mbona Kama sanae alikua kashaingia ndani ya b
Eeh kakimbizwa aiseeeeeeh Jamal talented Sana tuu
Eeh kakimbizwa aiseeeeeeh Jamal talented Sana tuu
Siwezi kumlaumu aina ya magoli Lunin aliyofungwa dhidi ya City na hata lile la jana, goli nitakaloweza kumlaumu ni lile la Benardo Silva, alipanga ukuta wake vibaya, halafu hakuweka umakini., bado hana uzoefu mkubwa kama Courtois ama Neur., maofisa wa Club pia walikuwa hawana imani nae ndio maana akaletwa Kepa, ila aliwa-prove wrong, so kadri anavyopata muda wa kucheza ndio anaendelea kupata uzoefu.mipira ya mbali anacheza vizur tu kweny game na City kelvin alipiga mashuti mawili Nje ya Box na zote akacheza tena Bunduki kweli kweli njoo kweny game ya 16 bora second leg na RB Leipzg alicheza mipira mingi sana iliyopigwa nje ya Box mleta comment inaonekana sio mtazamaji wa mechi kabisa katazama mechi moja tu analeta generally concolution
Zitakuwa za moto kweli kweli, mashabiki wanahitajika kuongoza hili jahazi., yaani jukwaani kuwe kwa moto uwanjani kuwe kwa moto.Haya 90 za Santiago. Bernabeu zitakuwa za Moto hatari
Eeh kakimbizwa aiseeeeeeh Jamal talented Sana tuu
Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.
kwa upande wa mtu sahihi rightfoot midfielder ambaye pia ni both foot player (miguu yote) ni j. musiala which i doubt is highly unlikely kumpata maana itakuwa ni
1 overload ya wachezaji CAM wawili jude musiala dah labda, kocha aje na plans, tofauti maana huyo dogo anaweza kwenda RW vizuri na LW vizuri ni both foot player
2 Bayern are unlikely to loss a player like him ni watapambana wambakize wonderkid wawo since he is worth full of price ni bora sana japo kwa tetesi zilizopo kawagomea kuongeza mkataba rumors zikidai anaweza tua man city aende awe successor wa KDB kati yake na foden au Barcelona
kwa upande wa faida huyu dogo anaweza kuto solve problem tuliyo kuwa nayo kiungo kiraka hapo kati ambae interm kf squad rotation injury na fatigue itakuwa vyema kuwa na mtu wa kukava sehemu zaidi ya 4 CM.. CAM... LW... RW
Rodrygo au hata Vasquez anapiga penat v
kuna yule dogo wa kike adi alikua anatukana matusi yani binti wa miaki 7 ana mzuka na mpira kama mtu mzimaZitakuwa za moto kweli kweli, mashabiki wanahitajika kuongoza hili jahazi., yaani jukwaani kuwe kwa moto uwanjani kuwe kwa moto.
Jana mashabiki Allianz Arena walikiwasha kweli kweli
Na ndio maana nikasema it's highly unlikely ni kitu kilichoshindikana hata kuwazia upewo wahuyo kijana hapo los blancoUnapotamani aje musiala maana yake unakubali kuwa JUDE Ni mzigo ambao unashindwa kufanya vizuri kazi yake, Mana musiala moja kwa moja anakuja kucheza nafasi ya Jude, huko pembeni kumejaa mkuu,Kuna Vini, rodrygo, Mbappe.
Nope sio kama watu hawamtaki carlo lakini mpira wa sasa unaenda unabadilika let say tulitolewa na city kwa penalty then watu lazima waje juu sababu tulikuwa na kiwango kibovu zaidi ya previous H2H with themhivi nyie watu ni waina gani? yani timu ikitoa sare mechi moja mnaanza kulia lia Carlo aondoke, Hivi munakumbuka hii timu ilikuwa katika hali gani kabla ya kuja Carlo? Nashindwa kufahamu munacholalamikia, Pep ana miaka 8 ndani ya city kabeba Champion league moja, Carlo anakwenda kubeba yapili ndani ya miaka miatatu bado munalalmika? Dah binaadamu hawajahi kuridhika.
Na ndio maana nikasema it's highly unlikely ni kitu kilichoshindikana hata kuwazia upewo wahuyo kijana hapo los blanco
labda ingekuwa tulishindwa m'beba jude hapo sawa ila kwa sasa tuwaachie bayern barca man city waongeze squad ushindani mashabiki tupate flavour nzuri ya mpira
sio kila kitu au kila mtu aje Madrid sisi tukomae na tuliokuwa nao na tuzidi ku cover up sehemu mbali mbali kwenye kikosi tukianza na world class ST....CB mmoja...RB na LB na labda CM huko mbeleni tunapoelekea tutawakosa watu kama modric na, kross muda unaenda na nafasi zao zinahitaji watu wa mapema kuja kuwa funza ili waje kuwa elites kama wao
Hala Madrid
Nope sio kama watu hawamtaki carlo lakini mpira wa sasa unaenda unabadilika let say tulitolewa na city kwa penalty then watu lazima waje juu sababu tulikuwa na kiwango kibovu zaidi ya previous H2H with them
carlo tangu atue ni mtu ambae ana implement simplier philosophy yani sio complex minded inapelekea mashabiki wawe wana rely on luck and Madrid composer of winning mentality yani ( sisi hata tukipewa 1% dhidi yao wao wapewe 99 % tutashinda tu)
Huo mpira wa bahati bahati huwa unakuwa na mwisho tunataka tutengeneze au turudishe legacy yani mtu akikutana na Madrid lazima atetemeke kama ilivo kwa city sio mtu anasema tunapita ki bahati bahati a good playstyle which is somehow relevant na ile era yakina cr7 modric casemiro...
so we need someone like xhabi who is in doubtful is or will be one of the greatest along side top elites kama pep arteta ambao washatengeza high standards... si tumechoka tunacheza mechi tunatetemeka tunakata tunacheza na mtu kama man city yeye mwenye anatupa respect kama anayo wapa Liverpool kuwa ni wagumu na anawaogola kiaina na sio unafki kuwa anacheza na sis huku akiwa aona madrd kwa bahat waliyo nayo ndio kitu pekee watatumia kututoa
it's 50/50 ni mapema sana ku conclude fate kabla ya, destinyKwa kweli Real wamefail kwenye usajili ya JUDE, sio quality ya kum replace Luka, Musiala alikuwa ni better option. Jamaa unaotea kabisa kwenye big games. ambazo ndio hua anatakiwa afungulie mashine zake uwanjani.
mpira haujifichi rudia kusoma nilicha type rudi kacheki mechi za Madrid fatilia critics za wachambuzi na hata wachezaji wenyewe juu ya quality ya Madrid pindi wanapo cheza then concludeCarlo ana mpira wa bahati? rely on lucky? unaweza kutoa mifano halisi? au reference yako ni game za Man City? sasa ulitaka real aifunge city huku akiwazidi ball position ama? nani amewahi kufanya hivyo katika last 5 years?