Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.
Wabongo bwana mna shida sana kujifanya ujuaji mwingi kumbe hamna kitu, sasa timu Ina shida gani Kwahiyo mlitaka wakicheza na timu kubwa wateleze tu kama wako peke Yao uwanjani?
 
Vazquez leo alilemewa kweli kweli, yule Jamal ni msumbufu na ana speed kweli kweli., halafu Tuchel kuona udhaifu wake akamuongezea Alphonce Davies,

Mkuu hao jamaa wote wawili ni moto sana kwa kweli, kijana hawezi kulaumika.
 
Ile ya Jana Haikua mbali mbona Kama sanae alikua kashaingia ndani ya b
mipira ya mbali anacheza vizur tu kweny game na City kelvin alipiga mashuti mawili Nje ya Box na zote akacheza tena Bunduki kweli kweli njoo kweny game ya 16 bora second leg na RB Leipzg alicheza mipira mingi sana iliyopigwa nje ya Box mleta comment inaonekana sio mtazamaji wa mechi kabisa katazama mechi moja tu analeta generally concolution
 
mipira ya mbali anacheza vizur tu kweny game na City kelvin alipiga mashuti mawili Nje ya Box na zote akacheza tena Bunduki kweli kweli njoo kweny game ya 16 bora second leg na RB Leipzg alicheza mipira mingi sana iliyopigwa nje ya Box mleta comment inaonekana sio mtazamaji wa mechi kabisa katazama mechi moja tu analeta generally concolution
Siwezi kumlaumu aina ya magoli Lunin aliyofungwa dhidi ya City na hata lile la jana, goli nitakaloweza kumlaumu ni lile la Benardo Silva, alipanga ukuta wake vibaya, halafu hakuweka umakini., bado hana uzoefu mkubwa kama Courtois ama Neur., maofisa wa Club pia walikuwa hawana imani nae ndio maana akaletwa Kepa, ila aliwa-prove wrong, so kadri anavyopata muda wa kucheza ndio anaendelea kupata uzoefu.
 
Ni sahihi,hii timu babu Carlo ashafikia ukingoni...aje kocha kijana wazungumze lugha moja na aina ya uchezaji ubadilike..afu pia sijui kama umenote,timu ikikosekana mchezaji anayetumia mguu wakushoto inakuwa haina balance.

hivi nyie watu ni waina gani? yani timu ikitoa sare mechi moja mnaanza kulia lia Carlo aondoke, Hivi munakumbuka hii timu ilikuwa katika hali gani kabla ya kuja Carlo? Nashindwa kufahamu munacholalamikia, Pep ana miaka 8 ndani ya city kabeba Champion league moja, Carlo anakwenda kubeba yapili ndani ya miaka miatatu bado munalalmika? Dah binaadamu hawajahi kuridhika.
 
kwa upande wa mtu sahihi rightfoot midfielder ambaye pia ni both foot player (miguu yote) ni j. musiala which i doubt is highly unlikely kumpata maana itakuwa ni

1 overload ya wachezaji CAM wawili jude musiala dah labda, kocha aje na plans, tofauti maana huyo dogo anaweza kwenda RW vizuri na LW vizuri ni both foot player

2 Bayern are unlikely to loss a player like him ni watapambana wambakize wonderkid wawo since he is worth full of price ni bora sana japo kwa tetesi zilizopo kawagomea kuongeza mkataba rumors zikidai anaweza tua man city aende awe successor wa KDB kati yake na foden au Barcelona

kwa upande wa faida huyu dogo anaweza kuto solve problem tuliyo kuwa nayo kiungo kiraka hapo kati ambae interm kf squad rotation injury na fatigue itakuwa vyema kuwa na mtu wa kukava sehemu zaidi ya 4 CM.. CAM... LW... RW

Unapotamani aje musiala maana yake unakubali kuwa JUDE Ni mzigo ambao unashindwa kufanya vizuri kazi yake, Mana musiala moja kwa moja anakuja kucheza nafasi ya Jude, huko pembeni kumejaa mkuu,Kuna Vini, rodrygo, Mbappe.
 
Rodrygo au hata Vasquez anapiga penat v

Zitakuwa za moto kweli kweli, mashabiki wanahitajika kuongoza hili jahazi., yaani jukwaani kuwe kwa moto uwanjani kuwe kwa moto.
Jana mashabiki Allianz Arena walikiwasha kweli kweli
kuna yule dogo wa kike adi alikua anatukana matusi yani binti wa miaki 7 ana mzuka na mpira kama mtu mzima
 
Unapotamani aje musiala maana yake unakubali kuwa JUDE Ni mzigo ambao unashindwa kufanya vizuri kazi yake, Mana musiala moja kwa moja anakuja kucheza nafasi ya Jude, huko pembeni kumejaa mkuu,Kuna Vini, rodrygo, Mbappe.
Na ndio maana nikasema it's highly unlikely ni kitu kilichoshindikana hata kuwazia upewo wahuyo kijana hapo los blanco

labda ingekuwa tulishindwa m'beba jude hapo sawa ila kwa sasa tuwaachie bayern barca man city waongeze squad ushindani mashabiki tupate flavour nzuri ya mpira

sio kila kitu au kila mtu aje Madrid sisi tukomae na tuliokuwa nao na tuzidi ku cover up sehemu mbali mbali kwenye kikosi tukianza na world class ST....CB mmoja...RB na LB na labda CM huko mbeleni tunapoelekea tutawakosa watu kama modric na, kross muda unaenda na nafasi zao zinahitaji watu wa mapema kuja kuwa funza ili waje kuwa elites kama wao

Hala Madrid
 
hivi nyie watu ni waina gani? yani timu ikitoa sare mechi moja mnaanza kulia lia Carlo aondoke, Hivi munakumbuka hii timu ilikuwa katika hali gani kabla ya kuja Carlo? Nashindwa kufahamu munacholalamikia, Pep ana miaka 8 ndani ya city kabeba Champion league moja, Carlo anakwenda kubeba yapili ndani ya miaka miatatu bado munalalmika? Dah binaadamu hawajahi kuridhika.
Nope sio kama watu hawamtaki carlo lakini mpira wa sasa unaenda unabadilika let say tulitolewa na city kwa penalty then watu lazima waje juu sababu tulikuwa na kiwango kibovu zaidi ya previous H2H with them

carlo tangu atue ni mtu ambae ana implement simplier philosophy yani sio complex minded inapelekea mashabiki wawe wana rely on luck and Madrid composer of winning mentality yani ( sisi hata tukipewa 1% dhidi yao wao wapewe 99 % tutashinda tu)

Huo mpira wa bahati bahati huwa unakuwa na mwisho tunataka tutengeneze au turudishe legacy yani mtu akikutana na Madrid lazima atetemeke kama ilivo kwa city sio mtu anasema tunapita ki bahati bahati a good playstyle which is somehow relevant na ile era yakina cr7 modric casemiro...

so we need someone like xhabi who is undoubtedly is or will be one of the greatest along side top elites kama pep arteta ambao washatengeza high standards... si tumechoka tunacheza mechi tunatetemeka tunakata tunacheza na mtu kama man city yeye mwenye anatupa respect kama anayo wapa Liverpool kuwa ni wagumu na anawaogola kiaina na sio unafki kuwa anacheza na sis huku akiwa aona madrd kwa bahat waliyo nayo ndio kitu pekee watatumia kututoa
 
Na ndio maana nikasema it's highly unlikely ni kitu kilichoshindikana hata kuwazia upewo wahuyo kijana hapo los blanco

labda ingekuwa tulishindwa m'beba jude hapo sawa ila kwa sasa tuwaachie bayern barca man city waongeze squad ushindani mashabiki tupate flavour nzuri ya mpira

sio kila kitu au kila mtu aje Madrid sisi tukomae na tuliokuwa nao na tuzidi ku cover up sehemu mbali mbali kwenye kikosi tukianza na world class ST....CB mmoja...RB na LB na labda CM huko mbeleni tunapoelekea tutawakosa watu kama modric na, kross muda unaenda na nafasi zao zinahitaji watu wa mapema kuja kuwa funza ili waje kuwa elites kama wao

Hala Madrid

Kwa kweli Real wamefail kwenye usajili ya JUDE, sio quality ya kum replace Luka, Musiala alikuwa ni better option. Jamaa unaotea kabisa kwenye big games. ambazo ndio hua anatakiwa afungulie mashine zake uwanjani.
 
Nope sio kama watu hawamtaki carlo lakini mpira wa sasa unaenda unabadilika let say tulitolewa na city kwa penalty then watu lazima waje juu sababu tulikuwa na kiwango kibovu zaidi ya previous H2H with them

carlo tangu atue ni mtu ambae ana implement simplier philosophy yani sio complex minded inapelekea mashabiki wawe wana rely on luck and Madrid composer of winning mentality yani ( sisi hata tukipewa 1% dhidi yao wao wapewe 99 % tutashinda tu)

Huo mpira wa bahati bahati huwa unakuwa na mwisho tunataka tutengeneze au turudishe legacy yani mtu akikutana na Madrid lazima atetemeke kama ilivo kwa city sio mtu anasema tunapita ki bahati bahati a good playstyle which is somehow relevant na ile era yakina cr7 modric casemiro...

so we need someone like xhabi who is in doubtful is or will be one of the greatest along side top elites kama pep arteta ambao washatengeza high standards... si tumechoka tunacheza mechi tunatetemeka tunakata tunacheza na mtu kama man city yeye mwenye anatupa respect kama anayo wapa Liverpool kuwa ni wagumu na anawaogola kiaina na sio unafki kuwa anacheza na sis huku akiwa aona madrd kwa bahat waliyo nayo ndio kitu pekee watatumia kututoa

Carlo ana mpira wa bahati? rely on lucky? unaweza kutoa mifano halisi? au reference yako ni game za Man City? sasa ulitaka real aifunge city huku akiwazidi ball position ama? nani amewahi kufanya hivyo katika last 5 years?
 
Wale wadau wa Belingham tunaomba maoni yenu, Au na jana pia ni bahati mbaya game ilimkataa?
 
Kwa kweli Real wamefail kwenye usajili ya JUDE, sio quality ya kum replace Luka, Musiala alikuwa ni better option. Jamaa unaotea kabisa kwenye big games. ambazo ndio hua anatakiwa afungulie mashine zake uwanjani.
it's 50/50 ni mapema sana ku conclude fate kabla ya, destiny

Destiny ya huyo kijana labda ilikuwa aje awepo hapo kama wengine waliopita hapo acheze kwenye dreamteam yake ili afikie fate yake ya kutwaa mataji makubwa pamoja na kushinda tunzo kubwa kama ya ballon dor

wapo wengi wao waliopita hapo na walitarajiwa makubwa kama kaka ... raul ila mwisho waka flop

pia wapo waliotarajiwa kuja kuwa flop wakajaga kubeba ballon dor hapa namzungumzia modric huu usajili wa huyu wali mpiga kura za worst signing of laliga akawepo ila akaja kuushangaza ulimwengu

so far ndio kwanza first season it's our responsibility sisi kama mashabiki kuwa guard support na kuwa encourage wachezaji wetu kupitia support zozote zile ili wafike pale tunapotaka kuwaona
 
Carlo ana mpira wa bahati? rely on lucky? unaweza kutoa mifano halisi? au reference yako ni game za Man City? sasa ulitaka real aifunge city huku akiwazidi ball position ama? nani amewahi kufanya hivyo katika last 5 years?
mpira haujifichi rudia kusoma nilicha type rudi kacheki mechi za Madrid fatilia critics za wachambuzi na hata wachezaji wenyewe juu ya quality ya Madrid pindi wanapo cheza then conclude

1 tuchel kusema kuwa build up ya madrd ya kupata goli huwa linatokaga out of nowhere then ukiangalia goli ukarudi sekunde kadhaa nyuma ndipo utakapo ona how it happened kiufupi ni wanacheza tactics zao zinaitwa madrid DNA long balls pass kushtukiza mpelek mpeleke mpaka mwisho

2 Rodri kusema kuwa kiuhalisia akuona timu yeyote pale uwanjani zaidi ya city pekee maana yake waliwatawla mpaka last minute watu wakawa wanasema for the sake of football and saving football city needed to advance into the next stage

3 Bellingham kusema kuwa mostly 99% of people fans odds players believed that Madrid are out.... mtu hawezi kuwa chizi akasema hivo hata wao wanajua hawagusi quality ya city and it was more of a matter of luck and time before suffering a demolition and humiliation

4 dah sababu ni nyingi ila tu sisi kama fans tuna foresee the future hatutaki hizi mambo za kuwa under pressure most of time yani kama timu ina 14 ucls lakini watu wana count on lucky and silverware more than hardwork it has to come to an end sisi tunataka tuendelee kuwa tishioo huko ligi ya mabingwa mpira unapigwa mpaka mtu anatafuta pakujifichia
 
Back
Top Bottom