Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tatizo ni kulazimisha kutuaminisha kuwa ni Best Player Duniani na kwenye timu, kitu ambacho ni upuuzi sana, Walianza kutuhesabia magoli, baada ya magoli kukuta saivi wamekuja na Hoja kuwa ndie anaeupiga mwingi uwanjani, Sasa ikiwa yeye anaupiga mwingi Toni Kroos na Valverde wanafanya nini? Waingereza ni wapuuzi sana, ukiingi kwenye media zao kila siku headlines nikuwa Jude anaibeba Madrid. akifunga kigoli kimoja tu inakuwa ndio story of the week.
Na hiki cha kusifia sifia ndo kimeifanya Uingereza kwenye michuano ya kimataifa kuwa na hype kubwa lakini makombe yakiwakimbia. Wanatabia sana ya kusifia vya kwao hata kama havina maajabu. Vyombo vyao vya habari kwa propaganda sidhani kama kuna vya nchi nyungine vinaifikia.
 
Na hiki cha kusifia sifia ndo kimeifanya Uingereza kwenye michuano ya kimataifa kuwa na hype kubwa lakini makombe yakiwakimbia. Wanatabia sana ya kusifia vya kwao hata kama havina maajabu. Vyombo vyao vya habari kwa propaganda sidhani kama kuna vya nchi nyungine vinaifikia.
Sidhani kama hua una angalia games za RMA pengine hua una angalia highlights au matokeo , Jude akiwa hayupo timu hua una struggle sana kupata matokeo na kuna mechi nyingi tu ambazo zilihitaji individual briant yake tukapata matokeo mfano El classical na ile ya Union Berlin
 
Sidhani kama hua una angalia games za RMA pengine hua una angalia highlights au matokeo , Jude akiwa hayupo timu hua una struggle sana kupata matokeo na kuna mechi nyingi tu ambazo zilihitaji individual briant yake tukapata matokeo mfano El classical na ile ya Union Berlin

Jude ana individual brilliant? That's a Good Joke
 
Sikucheki game la Barca, nimeona matokeo tu hapa.Ila kama El Cholo atatoboa ujerumani basi njia ya Barca kufika fainali ni nyeupe, provided that atapita.

Why?EL cholo hajawahi kumfunga Xavi tangu katua Barca. Na sioni akianza mara hii
Barca akimtoa PSG ana asilimia kubwa sana kufika fainali., Atletico huwa wanajua kuwakazia Real Madrid tu, ila kwa team nyingine za La Liga huwa wanachapika kirahisi sana.

Sie hiki kizingiti cha City tukikivuka ni moja kwa moja final., Jumatano week ijayo itatoa majibu ya uhakika.
 
kuelekea mchezo wa Robo finally Real Madrid C.F. dhidi ya Manchester city pale Etihad.

Mazoezi dhidi ya Mallorca yameisha salama,

Naona Jude Bellingham badala ya kuiweka timu mabegani mwake yeye ndio anataka timu imbebe,

Kwa sasa hataki tena kuvuja jasho,
Amekua ni mtu wa kuvizia akisubili Second ball ili Afunge, ni mbaya Sana Hii.

Sijajua mpango wa Don Ancelotti Ila mimi binafsi naona Game ya city tunahitaji watu wanaokaba na kukimbia Zaidi,

kwahyo ni kheri Brahim Diaz ningependelea hiyo siku aanze nafasi ya Jude, majipu ya kwapa yashaota kawaida Yao ma dogo wa kiingereza.

"mrithi wa Toni Kroos tunae,
Mtihani ni kumpata Mrithi Wa Mtakatifu Luca Modric, huyu Mzee ukiona anatengeneza nywele ujue kumekucha".
 
kuelekea mchezo wa Robo finally Real Madrid C.F. dhidi ya Manchester city pale Etihad.

Mazoezi dhidi ya Mallorca yameisha salama,

Naona Jude Bellingham badala ya kuiweka timu mabegani mwake yeye ndio anataka timu imbebe,

Kwa sasa hataki tena kuvuja jasho,
Amekua ni mtu wa kuvizia akisubili Second ball ili Afunge, ni mbaya Sana Hii.

Sijajua mpango wa Don Ancelotti Ila mimi binafsi naona Game ya city tunahitaji watu wanaokaba na kukimbia Zaidi,

kwahyo ni kheri Brahim Diaz ningependelea hiyo siku aanze nafasi ya Jude, majipu ya kwapa yashaota kawaida Yao ma dogo wa kiingereza.

"mrithi wa Toni Kroos tunae,
Mtihani ni kumpata Mrithi Wa Mtakatifu Luca Modric, huyu Mzee ukiona anatengeneza nywele ujue kumekucha".

Kwa kweli sasa tunaanza kuelewana na bado tutaona mengi, Huyo Jamaa JUDE sio star material kwa timu kama real Madrid, labda kwa Fulham, Na hana quality kabisa ya kum replace modric, Timu bado kabisa inahitaji kuendelea kusaka replacement ya Luca.

Jamaa ndio mchezaji dhaifu zaidi kwenye timu asietekeleza vizuri majukumu yake, Kwa quality yake alitakiwa alau awe kama kijana valvede ambae hardworking yake inaoneaknwa uwanjani, Ila jamaa anajiona star flani hivi wakati ni mweupe sana.

Madrid kama wapo serious ni kushinda mechi ya man city, Wanatakiwa lazima waanze na DIaz badala yake halafu second half luca awe standby kuja kutian nguvu.
 
kuelekea mchezo wa Robo finally Real Madrid C.F. dhidi ya Manchester city pale Etihad.

Mazoezi dhidi ya Mallorca yameisha salama,

Naona Jude Bellingham badala ya kuiweka timu mabegani mwake yeye ndio anataka timu imbebe,

Kwa sasa hataki tena kuvuja jasho,
Amekua ni mtu wa kuvizia akisubili Second ball ili Afunge, ni mbaya Sana Hii.

Sijajua mpango wa Don Ancelotti Ila mimi binafsi naona Game ya city tunahitaji watu wanaokaba na kukimbia Zaidi,

kwahyo ni kheri Brahim Diaz ningependelea hiyo siku aanze nafasi ya Jude, majipu ya kwapa yashaota kawaida Yao ma dogo wa kiingereza.

"mrithi wa Toni Kroos tunae,
Mtihani ni kumpata Mrithi Wa Mtakatifu Luca Modric, huyu Mzee ukiona anatengeneza nywele ujue kumekucha".

Mrithi wa Kroos amepatikanwa wapi? au unamaanisha Camavinga? jamaa ni bado sana

Kwa kweli hata replacement ya kroos bado imeshindwa kupatikanwa na ndio mana lazima aanze kila siku.
 
Velverde angalau

sikuwa nikimkubali valverde kutoka ufinyu wa skill yako kwa quality ya club kama madrid, alitakiwa acheze Atletico nasio real Ila Carlo msimu huu amempatia perfect position kabisa inayomfaa. amempunguzia majukumu ya attacking ambayo ndio yalikua ndio udhaifu wake. Siku hizi namkubali sana.
 
kuelekea mchezo wa Robo finally Real Madrid C.F. dhidi ya Manchester city pale Etihad.

Mazoezi dhidi ya Mallorca yameisha salama,

Naona Jude Bellingham badala ya kuiweka timu mabegani mwake yeye ndio anataka timu imbebe,

Kwa sasa hataki tena kuvuja jasho,
Amekua ni mtu wa kuvizia akisubili Second ball ili Afunge, ni mbaya Sana Hii.

Sijajua mpango wa Don Ancelotti Ila mimi binafsi naona Game ya city tunahitaji watu wanaokaba na kukimbia Zaidi,

kwahyo ni kheri Brahim Diaz ningependelea hiyo siku aanze nafasi ya Jude, majipu ya kwapa yashaota kawaida Yao ma dogo wa kiingereza.

"mrithi wa Toni Kroos tunae,
Mtihani ni kumpata Mrithi Wa Mtakatifu Luca Modric, huyu Mzee ukiona anatengeneza nywele ujue kumekucha".
Una mawazo mazuri, ila ishu ya Brahim kuanza mbele ya Jude hapana, Brahim ni mzuri sana team ikiwa na mpira na inashambulia, hapo utampenda, ila kwenye kukaba sio mzuri kihivyo, jana ninadhani uliangalia game yetu dhidi ya Mallorca., Jude yawezekana maneno ya kumsifia yamemlevya, ila bado ni mchango wake unahitajika ndani ya team.
Game ya City niwaombea Kroos na Vinicius waamke siku hiyo vizuri, tukiwa na transition nzuri na pass nzuri za mwisho ama umaliziaji tutakuwa salama sana.,
Sitegemei kupata nafasi nyingi dhidi ya City, ila ninategemea hizo nafasi tutakazopata zitumike vizuri.
 
Una mawazo mazuri, ila ishu ya Brahim kuanza mbele ya Jude hapana, Brahim ni mzuri sana team ikiwa na mpira na inashambulia, hapo utampenda, ila kwenye kukaba sio mzuri kihivyo, jana ninadhani uliangalia game yetu dhidi ya Mallorca., Jude yawezekana maneno ya kumsifia yamemlevya, ila bado ni mchango wake unahitajika ndani ya team.
Game ya City niwaombea Kroos na Vinicius waamke siku hiyo vizuri, tukiwa na transition nzuri na pass nzuri za mwisho ama umaliziaji tutakuwa salama sana.,
Sitegemei kupata nafasi nyingi dhidi ya City, ila ninategemea hizo nafasi tutakazopata zitumike vizuri.

Mkuu tathmini yako haipo sahihi, Diaz anatembea na mipira vizuri, ni muhimu sana kuwa na mtu kama huyu kati kwenye mechi kama hii ambayo tutakua deep sana, Pia uwezo wake wakucheza na midfield touch za haraka ni mkubwa sana ukilinganisha na Jude, Pia Jude anakaribiana na Vini kwa kupoteza mipira mingi uwanjani wakati position yake hatakiwi kabisa awe ni udhaifu huo.
 
Back
Top Bottom