Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Walau wewe umeheshimu kazi aliyoifanya Jude, alicheza vzr tofauti na last match
Jude Bellingham jana alikimbia kilomita 15 dhidi ya Manchester City pale Etihad,

Pia alipiga chenga 100% zilizokamilika na usahihi wa pasi 94%, yaani alipiga pasi 31 zilizokamilika, alipokonya mipira mara 10 alishinda mipira ya juu mara 3.

Kiwango chake cha kazi uwanjani ni cha ajabu.

Alijitahidi.
 
uyo mtoto ni mshamba sjui kwanin uwa anakuja kweny hii Nyuzi iyo game yenye inawezekana ata hajatazama ila kubwabwaja ndio kanachojua afu kana ujuaji Mwingi sana

acha matusi mkuu, zungumza football, Unaanzaje kumwita mtu Best Player wa timu ambaye kazi yake anagaragara tu uwanjani?
 
asa we ulitaka Belligam atoke wakati timu jana ilikua more definsive kuliko Attack hujamuona jana wakati anasaidia
kukaba city kweny kiungo wa Chini kuna mda walikua wanacheza Rodri na Akanji Rodri akipanda Akanji anaenda kuziba Nafasi na Bado dogo alipigana sana kukaba na kuna mda alikua anakuja kumsaidia Mendy upande wa kushoto kukaba pia unasahu kama kweny Goli la Rodyrgo kahusika ku link shambulizi kwa kazi waliofanya Vijana jana afu kuna mpuzi kama wew unakuja unakosoa wachezaji huoni umuhimu wa alichofanya kijana bila shaka una matatizo kichwani
Aisee Jana sikuwai kujua Bellingham anajua kukaba vile, jamaa anaziba njia utadhan pure beki.
 
Trent kwa pressure Kama ya leo Lazma angekua uchochoro

tunapenda mihemko sana, hawa wachezaji wanaokuzwa na Media tunawapa mawuwa wasiostahiki kabisa. Jamaa ukimtizama kwa umakini kidogo tu unagundua kuwa hapana beki pale.
 
Thierry Henry: “Nafahamu Manchester City waliumiliki mchezo, lakini namna Real Madrid walivyokuwa wanazuia ilikuwa ni namna ya kushangaza.

Kuna kitu kinaitwa kuzuia (kukaba). Unaweza kuutawala mchezo na usizuie vizuri. Natambua kwamba watu watasema Manchester City ilikuwa ni timu bora uwanjani, lakini kuzuia ni sehemu ya mchezo. Nadhani timu bora ni ile timu ambayo ilikuwa inazuia vizuri na wamefuzu kwenda hatua ya nusu fainali.”
 
Halla Madrid
IMG-20240417-WA0587.jpg
 
Back
Top Bottom