Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Carvajal upande wake ulikuwa vizur kabla ya Doku sema alipewa mtu msumbufu sana Doku amesumbua sana ule upande ni mbishi mno sema walau hata hao walio baki tunaweza bishana nao City ni msumbufu sana
Pia upande wa Carvajal ameshachoka tukimpata Trent Alexander itakuwa vizuri alaf mbele pale aongezeke mbappe na kiuongo mnyumbulifu kam Modric tutakuwa tumewin, Safu ya ushambuliaji vijana hawa Rodrygo,Mbappe nawaamin sana uyu Vini anamakuzi sana sometimes
 
Nakubaliana na nyie wadau,kuna maeneo yanatakiwa tufanye usajili wenye akili,eneo la beki kulia na kushoto,eneo la kati bado pia kazi ipo..kwa mfano leo Bell game ilimkataa hata game iliyopita,hawa wakongwe wetu kina modric na Ton unaona kabisa wanahitajika yaan.
Luka alivyoingia timu ikawa na uhai kidogo sasa mbele yake angewapata vijana Mbappe,Vin, Rodrygo asee timu ingekuwa ya moto

Nmesikia Mbappe kaomba akija aje na Hakimi kama itakuwa ivyo itapendeza uyu ni beki wa kulia mzuri tu
 
Mech ya leo ilikuwa ngum asee sema tumecheza kwa nidhamu sana ila kama Mbappe akijiunga mwakan basi hiyo counter attack ya vini na yule ni nani ataizuia... we'll become untouchable
Luka alivyoingia timu ikawa na uhai kidogo sasa mbele yake angewapata vijana Mbappe,Vin, Rodrygo asee timu ingekuwa ya moto

Nmesikia Mbappe kaomba akija aje na Hakimi kama itakuwa ivyo itapendeza uyu ni beki wa kulia mzuri tu
 
Luka alivyoingia timu ikawa na uhai kidogo sasa mbele yake angewapata vijana Mbappe,Vin, Rodrygo asee timu ingekuwa ya moto

Nmesikia Mbappe kaomba akija aje na Hakimi kama itakuwa ivyo itapendeza uyu ni beki wa kulia mzuri tu
Na ndio maana kipara akafanya Sub ya Stone na Kova ili kurudisha uhai kweny kiungo cha City na Kweli walivoingia tu City akabadilika Tena wakati tulikua tushamkata kipara ni mjanja sana ila leo kakutana na Master
 
Real Madrid ndio Freemasons wa Hii michuano
Jitu kubwa
IMG_20240418_012411.jpeg
 
Na mwakani ana tua mbappe nilikuwa sina confidence juu ya ujio wa mbappe nilihisi uta disrupt rhythm ya madrid na utawala wa kina jude

laah jude ni kiboga tu pale mbele Madrid wanamuhitaji sana Mbapee mwenye caliber yake yule moto pia wapate kiongo bora kama modric ( writz )
 
Back
Top Bottom