Hii timu sijui tatizo ni kocha ama ni Wachezaji!? Msimu huu tumesajili wachezaji wazuri tu, ila matokeo hayaendani na usajili, nilikuwa na matumaini makubwa sana msimu huu., ila kiukweli nilikuja kugundua kuwa bado team ina safari ndefu.
Tuliachana na Esther Gonzalez tukitegemea Caroline ataongoza safu ya ushambuliaji, ila bahati mbaya akaumia, hapo ni mpaka msimu ujao ndio ataitumikia tena team., msimu umeisha huu, wakomae tu tumalize nafasi ya pili, tuone uongozi kama utabadilisha bench la ufundi ama laa.