Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Kijana game ilimkataa, sijui alikuwa amepania? Ama ni vp, ninaamini atakuwa vizuri game ijayo.,Ni Kwel Jude game ilimkataa kabisaa..na aina ya magoli tumefungwa karibu yote yanafanana,nafikiri huo ndio udhaifu wameona pekee tunao kwenye safu ya ulinzi,huku mbele wachezaji wapunguze ila anakwenda na mpira anakwenda na mpira.
Suala la msingi ni kutumia nafasi tutakazopata vizuri, Carlo alifanya vema sana kumuanzisha Rodrygo winga ya kushoto, kijana anakuwa mzuri sana akitokea upande ule.
Ni matumaini yangu kuwa return leg hatutacheza tena kinyonge kama msimu uliopita.