Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni Kwel Jude game ilimkataa kabisaa..na aina ya magoli tumefungwa karibu yote yanafanana,nafikiri huo ndio udhaifu wameona pekee tunao kwenye safu ya ulinzi,huku mbele wachezaji wapunguze ila anakwenda na mpira anakwenda na mpira.
Kijana game ilimkataa, sijui alikuwa amepania? Ama ni vp, ninaamini atakuwa vizuri game ijayo.,
Suala la msingi ni kutumia nafasi tutakazopata vizuri, Carlo alifanya vema sana kumuanzisha Rodrygo winga ya kushoto, kijana anakuwa mzuri sana akitokea upande ule.
Ni matumaini yangu kuwa return leg hatutacheza tena kinyonge kama msimu uliopita.
 
Namaanisha nimewahi vuka hatua kwenye ucl nikiwa vs city hapo hapo kwa etihad dogo. Muwe na kumbu kumbu nyie Arsenal mliovamia chaka la city kupoza machungu
Unamaanisha ushawahi kuvuka hatua ya mtoano ucl second leg mbele ya city etihad?

Hakuna second leg iliyochezewa etihad ukavuka..kama unabisha weka hapa huo msimu mliocheza second leg etihad mkapita bila kujali mlipigwa au mlishinda.

Misimu yote mliyopita mbele ya city bernabeu ndio paliamua.
 
wew katoto kajinga kweli kwahyo wew unahis mim ni mtoto mwezako haya kazi yake kubwa ni ku link middle area na attack.area hiyo ndio core function

Na hiyo ndio weakness kuu ya Jude, Diaz au Modric ni bora mara 10 zaidi wanapocheza kwenye hiyo position. wana connect vizuri zaidi midfield pamoja na forward, Jamaa yeye kazi yake imekua kuvizia nafasi afunge badala ya kufanya kazi yake.
 
Sikucheki game la Barca, nimeona matokeo tu hapa.Ila kama El Cholo atatoboa ujerumani basi njia ya Barca kufika fainali ni nyeupe, provided that atapita.

Why?EL cholo hajawahi kumfunga Xavi tangu katua Barca. Na sioni akianza mara hii
 
Back
Top Bottom