Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Vinicius ndio bado mpira haujakaa sawa mguuni., pass hazifiki kwa mlengwa, na pia jicho kwenye goli bado halijakaa sawa., acha tusubiri kipindi cha pili.
Hii game ni ya mchaka mchaka sio mchezo, Vijana wanakimbia tu, hakuna kukata tamaa.
ataa sawa ikishindikana Brahim diaz azame
 
Leo Jude game imemgomea,
Kocha akija na sub ni kheri amuingize miltao achsze na Rudiga , harafu Tchouameni asogee juu pahala pa camavinga, camavinga akapunzike ili asitoke na njano,
Jude nae ampishe modric,,

Vini abaki Ila ajichunge na makosa yake ya hovyo asijekupata Kadi nae
Pia braihim yupo anaweza kuzama pia badala yake
 
Njia pekee ya kumfunga kipara ni kwenda nae jino Kwa jino kama wanavyofanya Liverpool ya klopp, ndio maana kipara na liver ya klopp huwa anaamuaga kupaki basi tu Ili asifungwe maana Kila angle imetight kwake...by the way, sioni Madrid akitoboa pale Etihad kama akikaa sana nyuma Kwa kipindi kirefu, Madrid ni timu hatari sana ikifika langoni lakini uhatari huu utakufa kama watakaa sana nyuma tena Kwa kitambo kirefu, Man city ukikaa sana nyuma huwa wana enjoy ile moment na kuwa comfortable na mpira, haitakiwi city awe comfortable na mpira ni hatari anakufunga muda wowote maana anao watu wa kufanya hivyo na ukitaka kuona uhatari huo kuanzia Kwa man city kwenda mbele wote wana individual brilliance....hivyo carlo aache kukaa sana nyuma siyo Hadi afungwe ndo ainuke.
 
Ancerloti Moga sana kipind cha pili karudi na kukaa nyuma ilikua hatari sana kama second leg ataenda kukaa Nyuma mda mrefu Tena kipara atatusumbua sana
Kwa aina ya mchezo tuanaocheza, tunahitaji wale vijana, kwamba tukipata chance ni goli, hapo tutawaweza, ila tukisema tukae nyuma jamaa watatupiga kipigo cha mbwa mwizi.,
 
Leo Jude game imemgomea,
Kocha akija na sub ni kheri amuingize miltao achsze na Rudiga , harafu Tchouameni asogee juu pahala pa camavinga, camavinga akapunzike ili asitoke na njano,
Jude nae ampishe modric,,

Vini abaki Ila ajichunge na makosa yake ya hovyo asijekupata Kadi nae
Pia braihim yupo anaweza kuzama pia badala yake
Jude na Vinicius wote game imewakataa, kila walichojaribu kufanya hakikufanikiwa., Camavinga, Rodrygo na Valverde ndio niliona walisimama imara sana, na safu yetu ya ulinzi.
 
Back
Top Bottom