Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 599
- 1,362
walicheza kwa uoga wakuto pata kadi nyingine ya njano unakuwa hauko comfortable ndiomaana walimtupia jude false 9 uko na Rodrigo akatolewa mapemaJude na Vinicius wote game imewakataa, kila walichojaribu kufanya hakikufanikiwa., Camavinga, Rodrygo na Valverde ndio niliona walisimama imara sana, na safu yetu ya ulinzi.
sasa next game jezi nyeupe zitaloa damu amini nacho sema
