PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,253
- 22,134
Tatizo ni kulazimisha kutuaminisha kuwa ni Best Player Duniani na kwenye timu, kitu ambacho ni upuuzi sana, Walianza kutuhesabia magoli, baada ya magoli kukuta saivi wamekuja na Hoja kuwa ndie anaeupiga mwingi uwanjani, Sasa ikiwa yeye anaupiga mwingi Toni Kroos na Valverde wanafanya nini? Waingereza ni wapuuzi sana, ukiingi kwenye media zao kila siku headlines nikuwa Jude anaibeba Madrid. akifunga kigoli kimoja tu inakuwa ndio story of the week.
Wajameni mtamuua Gary Neville.

️ Eduardo Camavinga alikua na mchango mkubwa Kwa Real Madrid walipokia wakitwaa ubingwa wac 14 wa Champions League:
Camavinga aliingia dakika ya 57:
️Benzema 