Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Na modric majeruhi

Modric
Alaba
Militao

Hawa watu (ukiacha militao ambaye hatocheza kabisa) wanaweza kuikosa first leg.
Sasa njooni na kina Nacho tuwaonyeshe kazi.
 
Changamoto ambayo madrid tunaipata hadi team zinapata magoli na matokeo kwetu ni ile timu inapopanda inachelewa kurudi...sasa huwa tunapokutana na team ambayo ina vijana wenye kasi basi huwa tunapigwa.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Kwa uchezaji huu wa kupanda kifala tukikutana na mancity Ni msiba
 
Emu watusogezeee mbele iyo game ya fainali kombe la mfalme, aseee tuna majeruhi wengi na tarehe 9 tupo na cityzens. Vinni anaweza kuwa na suspension

Haiwezi kusogezwa ilishapangwa. Vin anaweza kua na suspension ipi?. Maana me najua game inayofata hachezi sababu ya kadi ila copa de rey atakuwapo. Maana tuna game katikati ya wiki ya la liga
 
Tumeshinda halla Madrid mm kwangu Madrid msimu huu nawadai copa de ley tu hata game ya man city sina presha nayo
🤍🤍🤍los blancos

Yah mkuu, ata city akivuka hatua inayofata haitakua kirahisi kama wengi wanavyodhani.

Changamoto ya timu unaweza leo almeria katupiga bao tano, ila akija mkubwa tunacheza nae vizuri na tunapishana kabisa.
 
Back
Top Bottom