Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

IMG_6053.jpg

Madrid is white 🤍🤍🤍🤍
 
Kwa zile beki za City Ake na Akanji wanavyosifiwa wakipata mtu machachari kama vini na rodrygo amini watapoteana na Rasta zao vibaya sana..

Ningekua Don Carlo ningempa namba Hazard kwenye hii game ata nusu saa..Pia Rodyrgo atabaki benchi kwasababu dogo ni fundi ila Stamina ndo hana wanamuonea sana bora Gavi nguvu hana ila ni mbishi ukimchezea foul anakutunishia anajua mtaamuliwa tu.Pia Asensio ni muhimu sana kwenye hii game

Militao alipoteana kipindi kile Etihad hasa goli la mwisho saza Nawaza sana huyu jamaa wakimpa haland si atachoma?? Jini Apewe mtu kama Rudiger japo ni mzito ila atapambana uwezi kupita kizembe kwa rudiger...Carvajal pia anauzoefu sema nae duuh sijui ni Uzee ila mbona Modric anakiwasha vzur tu?

Pia Velverde ni mtu makini sana asikose hasa Etihad stadium asikose namba..

Kama kuna kosa kubwa watalofanya basi ni kuruhusu City washinde Etihad stadium..Inabidi wajitahidi sana watoe hata droo alaf bernabeu kila kitu kinaisha..Wasije wakatufanyia kama 2021 walitupiga Home na Away 2-1

1% Chance 99% Faith
 
Kwa zile beki za City Ake na Akanji wanavyosifiwa wakipata mtu machachari kama vini na rodrygo amini watapoteana na Rasta zao vibaya sana..

Ningekua Don Carlo ningempa namba Hazard kwenye hii game ata nusu saa..Pia Rodyrgo atabaki benchi kwasababu dogo ni fundi ila Stamina ndo hana wanamuonea sana bora Gavi nguvu hana ila ni mbishi ukimchezea foul anakutunishia anajua mtaamuliwa tu.Pia Asensio ni muhimu sana kwenye hii game

Militao alipoteana kipindi kile Etihad hasa goli la mwisho saza Nawaza sana huyu jamaa wakimpa haland si atachoma?? Jini Apewe mtu kama Rudiger japo ni mzito ila atapambana uwezi kupita kizembe kwa rudiger...Carvajal pia anauzoefu sema nae duuh sijui ni Uzee ila mbona Modric anakiwasha vzur tu?

Pia Velverde ni mtu makini sana asikose hasa Etihad stadium asikose namba..

Kama kuna kosa kubwa watalofanya basi ni kuruhusu City washinde Etihad stadium..Inabidi wajitahidi sana watoe hata droo alaf bernabeu kila kitu kinaisha..Wasije wakatufanyia kama 2021 walitupiga Home na Away 2-1

1% Chance 99% Faith
Hamtoboi Chief!

Kwa kikosi mlichonacho, kufika nusu fainali ni achievement kubwa msimu huu. City anawatoa!
 
Back
Top Bottom