Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hajui anachokisema uyo
Kumrudisha Alaba akiwa hajapona vizuri ilihali tuna vallejo mwenye nafasi yake halisi CB.
Kuna muda anamtumia Militao kama RB wakati Carvajal kachoka ilihali kuna Odriozola mwenye nafasi husika naona ni tatizo.

Angalia magoli mengi tunafungwa yanayofanana kwa uzembe wa Militao ambaye anaonyesha kachoka na kocha hampumzishi.
 
Kumrudisha Alaba akiwa hajapona vizuri ilihali tuna vallejo mwenye nafasi yake halisi CB.
Kuna muda anamtumia Militao kama RB wakati Carvajal kachoka ilihali kuna Odriozola mwenye nafasi husika naona ni tatizo.

Angalia magoli mengi tunafungwa yanayofanana kwa uzembe wa Militao ambaye anaonyesha kachoka na kocha hampumzishi.

mkuu football unaischukulia kama Play station? Odriozola ni third choice Right Back, hebu nitafutie timu ambayo third choice right back hua anapewa namba mara kwa mara kwenye mechi za muhimu.
 
mkuu football unaischukulia kama Play station? Odriozola ni third choice Right Back, hebu nitafutie timu ambayo third choice right back hua anapewa namba mara kwa mara kwenye mechi za muhimu.
Tuyaache, maana kila mtu anaangalia mpira na kuutathmini kwa namna aonavyo.
 
Ancelloti atafukuzwa tu

Aliletwa kama care taker baada ya madrid kukosa kocha wakumpa mkataba.

So sitegemei sana ata kama atakaa hadi msimu ujao. Ikitokea akaanza na timu msimu ujao basi akipata matokeo mabaya kama aya atafukuzwa.

Ngoja tuone hadi mwisho
 
Hii timu wa kulaumiwa ni Perez, Nilisema mapema hapa kabla ya msimu kuanza, Timu inahitajili usajili mkubwa, ila kuna watu humu waliiona timu ina kikosi kizito.

Ni kweli mkuu ila huwezi leta wachezaji pasipokujia impact yao. Inakua changamoto sana. Timu inaitaji kuachana na baadhi ya wachezaji ili kuleta wachezaji.

Mfano asensio naoma safari yake imeiva na yule dogo wa milan anaweza rudi. Kina mariano pia.

Ukisema ufanye overall change inaleta shida yanakua yale yale ya chelsea unakuta unakila kitu kipya.

Mfano project inavyooendq benzema anaongezwa mwaka mmoja ili 2024 mkataba unavyoisha yule dogo wa brazil anafika.
 
Aliletwa kama care taker baada ya madrid kukosa kocha wakumpa mkataba.

So sitegemei sana ata kama atakaa hadi msimu ujao. Ikitokea akaanza na timu msimu ujao basi akipata matokeo mabaya kama aya atafukuzwa.

Ngoja tuone hadi mwisho
Kuna mechi nyingi makosa yamefanyika kizembe..

Vinicius ana utoto na lile domo lake ndo maana linajikuta linapewa kadi za hovyo hovyo
 
Ni kweli mkuu ila huwezi leta wachezaji pasipokujia impact yao. Inakua changamoto sana. Timu inaitaji kuachana na baadhi ya wachezaji ili kuleta wachezaji.

Mfano asensio naoma safari yake imeiva na yule dogo wa milan anaweza rudi. Kina mariano pia.

Ukisema ufanye overall change inaleta shida yanakua yale yale ya chelsea unakuta unakila kitu kipya.

Mfano project inavyooendq benzema anaongezwa mwaka mmoja ili 2024 mkataba unavyoisha yule dogo wa brazil anafika.

Asensio ni bench player, hakuwa na madhara yoyote kam aungelifanyika usajili, timu ilihitaji Right side foward wa uhakika ambaye angelikuja pale na kuwa starter.
 
Back
Top Bottom