Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kashasema tayar kocha na mchambuzi...
Screenshot_20230420_214335_Twitter.jpg


Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Wab
Kwa zile beki za City Ake na Akanji wanavyosifiwa wakipata mtu machachari kama vini na rodrygo amini watapoteana na Rasta zao vibaya sana..

Ningekua Don Carlo ningempa namba Hazard kwenye hii game ata nusu saa..Pia Rodyrgo atabaki benchi kwasababu dogo ni fundi ila Stamina ndo hana wanamuonea sana bora Gavi nguvu hana ila ni mbishi ukimchezea foul anakutunishia anajua mtaamuliwa tu.Pia Asensio ni muhimu sana kwenye hii game

Militao alipoteana kipindi kile Etihad hasa goli la mwisho saza Nawaza sana huyu jamaa wakimpa haland si atachoma?? Jini Apewe mtu kama Rudiger japo ni mzito ila atapambana uwezi kupita kizembe kwa rudiger...Carvajal pia anauzoefu sema nae duuh sijui ni Uzee ila mbona Modric anakiwasha vzur tu?

Pia Velverde ni mtu makini sana asikose hasa Etihad stadium asikose namba..

Kama kuna kosa kubwa watalofanya basi ni kuruhusu City washinde Etihad stadium..Inabidi wajitahidi sana watoe hata droo alaf bernabeu kila kitu kinaisha..Wasije wakatufanyia kama 2021 walitupiga Home na Away 2-1

1% Chance 99% Faith
Wanaanzia spain
 
Biashara ya mpira wa miguu.

- Vinicius amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 45

- Rodrygo amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 45 (Real Madrid)

- Mudryk amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 100

- Enzo Fernandez amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 121(Chelsea).
Chelsea wamenunua kwa pressure
 
Ceballos ni moja ya wachezaji wa kawaida sana anayecheza madrid,yeye na Nacho ni ngekewa tu wako nayo...

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Bora ya ceballos timu ikiwa inacheza kushambulia anauwezo angalau wa ku build up shambulizi akiwa kiungo namba 8 au namba 10. Ila timu ikiwa inashambuliwa hawezi kuform shield. Nadhan MATEO KOVASIC angerud huyu ceballos ni average angebaki kule kule Arsenal kama mwenzake ORDEGARD au tumuwinde JUDE BELLINGAHM. Sasa kwa nacho jameni jamaa anakabia sana mgongo na macho jana almasura IAGO ASPAS atufunge kisa u floppy wa Nacho sema kipavakatuokoa. Cleansheets nzuri kwa COURTOUS.

Central defenders MILTAO na ALABA tunaweza wakosa kwenye semi finals UCL badala ya NACHO bora acheze VALLEJO
 
Back
Top Bottom