pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Wanaanzia spainKwa zile beki za City Ake na Akanji wanavyosifiwa wakipata mtu machachari kama vini na rodrygo amini watapoteana na Rasta zao vibaya sana..
Ningekua Don Carlo ningempa namba Hazard kwenye hii game ata nusu saa..Pia Rodyrgo atabaki benchi kwasababu dogo ni fundi ila Stamina ndo hana wanamuonea sana bora Gavi nguvu hana ila ni mbishi ukimchezea foul anakutunishia anajua mtaamuliwa tu.Pia Asensio ni muhimu sana kwenye hii game
Militao alipoteana kipindi kile Etihad hasa goli la mwisho saza Nawaza sana huyu jamaa wakimpa haland si atachoma?? Jini Apewe mtu kama Rudiger japo ni mzito ila atapambana uwezi kupita kizembe kwa rudiger...Carvajal pia anauzoefu sema nae duuh sijui ni Uzee ila mbona Modric anakiwasha vzur tu?
Pia Velverde ni mtu makini sana asikose hasa Etihad stadium asikose namba..
Kama kuna kosa kubwa watalofanya basi ni kuruhusu City washinde Etihad stadium..Inabidi wajitahidi sana watoe hata droo alaf bernabeu kila kitu kinaisha..Wasije wakatufanyia kama 2021 walitupiga Home na Away 2-1
1% Chance 99% Faith
Duuh apo vitaumana mbona raha ya Santiago bernabeu ni 2nd LegWab
Wanaanzia spain
Mnaogelea kwenye mkondo wa mazoea.Bora useme mcm uliopita ndo kikosi kilikua tia maji ila saivi ni balaa yani upara wa Pep utawaka siku iyo
Chelsea wamenunua kwa pressureBiashara ya mpira wa miguu.
- Vinicius amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 45
- Rodrygo amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 45 (Real Madrid)
- Mudryk amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 100
- Enzo Fernandez amenunuliwa kwa thamani ya Euro milioni 121(Chelsea).
Bora ya ceballos timu ikiwa inacheza kushambulia anauwezo angalau wa ku build up shambulizi akiwa kiungo namba 8 au namba 10. Ila timu ikiwa inashambuliwa hawezi kuform shield. Nadhan MATEO KOVASIC angerud huyu ceballos ni average angebaki kule kule Arsenal kama mwenzake ORDEGARD au tumuwinde JUDE BELLINGAHM. Sasa kwa nacho jameni jamaa anakabia sana mgongo na macho jana almasura IAGO ASPAS atufunge kisa u floppy wa Nacho sema kipavakatuokoa. Cleansheets nzuri kwa COURTOUS.Ceballos ni moja ya wachezaji wa kawaida sana anayecheza madrid,yeye na Nacho ni ngekewa tu wako nayo...
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Nacho akiwa kwenye line up hua sina amani kabisaCeballos ni moja ya wachezaji wa kawaida sana anayecheza madrid,yeye na Nacho ni ngekewa tu wako nayo...
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Nacho ni kama ile beki brazil inaitwa Dante. Ila kuna saa akivurugwa anakichafua pale CENTRAL DEFENDER...... Japo mara nyingi anatuchoma akicheza RB na LBNacho akiwa kwenye line up hua sina amani kabisa
Tulidharau hii game toka mwanzo na kila goli lililofungwa hakuna chakujifunza...Kwan leo mbona tunapigika sana kulikon?