Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Aye aye jude anakuja. Next season tutakua na option kubwa ya viungo kiendelee kuwaka.

Tupate coaching sasa
Inasemekana anakuja Bernabeu na yupo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili

Huyo jamaa ni mua, anakuja kuishia kukaa bench pale, Hakuna hata midfield moja aliyokuepo pale anyemzidi. Hizi signing za mihemko always zinaishia kuicost timu.

Najua wako watakao biasha ila hii msg itakua ni kumbukumbu tosha ya kuwakumbushia.
 
Huyo jamaa ni mua, anakuja kuishia kukaa bench pale, Hakuna hata midfield moja aliyokuepo pale anyemzidi. Hizi signing za mihemko always zinaishia kuicost timu.

Najua wako watakao biasha ila hii msg itakua ni kumbukumbu tosha ya kuwakumbushia.

Kuna ile mido ya napol inajina gumugum hiv ile inajua ball asee
 
Kuna ile mido ya napol inajina gumugum hiv ile inajua ball asee

Real Madrid hawahitaji midfield unless awe World Class, huyo kijana wakiengeraza ni mchezaji wa kucheza Newcastle hizo ndio timu za size yake. Timu inatakiwa kuimarishwa Defense Pamoja na Forward.
 
Nikweli zinahitajika hasa beki za pembeni na striker lakin pia sidhani kama creativity ya Modric tushaipata

na ndio mana nikasema lazima awe world class midfield, mana huyo kijana wa kiengereza ni just another overrated British boy ankuja kuishia kukaa bench huku hela kibao ya usajili pamoja na mshahara mnono vikiwa vitakwenda na maji.
 
Modric anaweza sepa mwisho wa msimu. Ukweli ni kwamba jude bellingahm tunamuitaji sana tu kwa sababu target yetu ni kuwin domestic cups and champions league. Kinachowaponza barca leo hii UCL kwao ni maji marefu ni kwa sababu mid field wanazo ila ikitokea mmoja majeruhi ona walivyohaha misimu ya hivi karibuni unajikuta una defensive mid field busquets ambaye ni jua la jion ukija kumpa mechi nyingi atachoka tuu. Usajili wa jude belingahm ni mzuri sana dogo anapiga 6 anapiga 8 anapiga 10 sasa hapo tumepata pipa na mfuniko
 
Huyo jamaa ni mua, anakuja kuishia kukaa bench pale, Hakuna hata midfield moja aliyokuepo pale anyemzidi. Hizi signing za mihemko always zinaishia kuicost timu.

Najua wako watakao biasha ila hii msg itakua ni kumbukumbu tosha ya kuwakumbushia.

Nambie ukiondoa modric nani mwingine ni ball carrier mzuri kuelekea mbele pale madrid kwa viungo wetu wa sasa?.
 
Muulize hivi who is the box to box mid field ukimtoa modric kwa sasa pale madrid????
Jibu atakupa ni valvelde. Je akiwa na suspension au akiwa na majeruhi je tutafanyeje????

unanunua mchezaji kwa karibu milion 100 au ziadi kwa ajili ya kusubiri suspension ya Valvelde? Kwanini hiyo hela isitumike kununulia full backs za kulia na kushoto kama Cancelo na Theo Hernandez ili timu iwe na world class fullbacks?
 
unanunua mchezaji kwa karibu milion 100 au ziadi kwa ajili ya kusubiri suspension ya Valvelde? Kwanini hiyo hela isitumike kununulia full backs za kulia na kushoto kama Cancelo na Theo Hernandez ili timu iwe na world class fullbacks?

Valverde na jude ni nature mbili tofauti kabisa afu kuna swali hapo juu hujanipa jibu mwana Madrid?
 
Jude ni ball carrier mzuri? Tunazungumzia Real Madrid ndugu sio timu za EPL Real Madrid alipita Zidane, akapita Ozil amekuja Modric kwahiyo Jude ndio akawe replacement yake?

Hakuna replacement ya mchezaji yoyote yule. Kinachofanyiwa replace ni position na nature ya kucheza uwanjani.

Haaland sio replacement ya aguero. Maana kama angekua replacement angefanya alichokua anafanya yeye.

Pele hajawai kua na replacement ila eneo lake wamecheza watu wengine na wameonesha ubora pia.
 
unanunua mchezaji kwa karibu milion 100 au ziadi kwa ajili ya kusubiri suspension ya Valvelde? Kwanini hiyo hela isitumike kununulia full backs za kulia na kushoto kama Cancelo na Theo Hernandez ili timu iwe na world class fullbacks?
Suspension ya valvelde itakuwepo tuu kama sio suspension basi majeruhi kama sio majeruhi basi underperfomance anaweza akawa nayo kama sio hayo yote real madrid huwa tuna rotation ya wachezaji wetu ili wasiwe na fatique.
Huijui madrid wewe tulia tukupe strategies zetu.
Modric akiondoka kroos nae anaweza ondoka je nani atabaki midfield pale????

Nakubaliana na ww full backs 2 na 3 tuna criss ndo maana leece james yupo kwenye rada zetu.

Afu huyo Theo na Cancelo unadhami unaweza wapata kwa bei gani sasa hivi??????
 
Suspension ya valvelde itakuwepo tuu kama sio suspension basi majeruhi kama sio majeruhi basi underperfomance anaweza akawa nayo kama sio hayo yote real madrid huwa tuna rotation ya wachezaji wetu ili wasiwe na fatique.
Huijui madrid wewe tulia tukupe strategies zetu.
Modric akiondoka kroos nae anaweza ondoka je nani atabaki midfield pale????

Nakubaliana na ww full backs 2 na 3 tuna criss ndo maana leece james yupo kwenye rada zetu.

Afu huyo Theo na Cancelo unadhami unaweza wapata kwa bei gani sasa hivi??????

Full backs kama cancelo ukatoe pesa yote iyo kumnunua wa nini?

Tuna full back ya kushoto tumeshasajili anaingia next season. Kulia tunammalizia dani msimu ujao huku tukimchezesha vinicous tobias.

Sisi sio chelsea tunanunua kila mbuzu tunayeona yuko teyari kuchinjwa
 
Full backs kama cancelo ukatoe pesa yote iyo kumnunua wa nini?

Tuna full back ya kushoto tumeshasajili anaingia next season. Kulia tunammalizia dani msimu ujao huku tukimchezesha vinicous tobias.

Sisi sio chelsea tunanunua kila mbuzu tunayeona yuko teyari kuchinjwa

Jude ndie mbuzi ambaye yupo tayari kuchinjwa kama ilivyokua kwa Hazard. Hiyo fullback iliyosajiliwa je ina uwezo wa kutosheleza au ni Mendy mwengine? acha mihemuko ndugu
 
Full backs kama cancelo ukatoe pesa yote iyo kumnunua wa nini?

Tuna full back ya kushoto tumeshasajili anaingia next season. Kulia tunammalizia dani msimu ujao huku tukimchezesha vinicous tobias.

Sisi sio chelsea tunanunua kila mbuzu tunayeona yuko teyari kuchinjwa

hivi wewe hufahamu uwezo wa Cancelo? kwahiyo kutoa pesa kwa Cancelo unasema ni kuharibu pesa , lakini kutoa mamlioni kwa Overrated British boy ni matumizi sahihi sio?
 
Suspension ya valvelde itakuwepo tuu kama sio suspension basi majeruhi kama sio majeruhi basi underperfomance anaweza akawa nayo kama sio hayo yote real madrid huwa tuna rotation ya wachezaji wetu ili wasiwe na fatique.
Huijui madrid wewe tulia tukupe strategies zetu.
Modric akiondoka kroos nae anaweza ondoka je nani atabaki midfield pale????

Nakubaliana na ww full backs 2 na 3 tuna criss ndo maana leece james yupo kwenye rada zetu.

Afu huyo Theo na Cancelo unadhami unaweza wapata kwa bei gani sasa hivi??????

James sio quality ambayo inahitajika Madrid. acha abaki CHelsea aendelee kurusha mateke, City bei yao ya cancelo ni kwenye 70 m, naamini baada ya mauzngumzo inaweza pungua mpaka 60, Theo hawezi kuzidi 70 million. timu ikitumia hiyo pesa inayotaka kulipa kwa huyo Kijana wa kiengereza kwa hawa majamaa kwa uhakika kabisa msimu unaokuja Real Madrid watakuwa na timu ya uhakika ya kushindana.
 
Suspension ya valvelde itakuwepo tuu kama sio suspension basi majeruhi kama sio majeruhi basi underperfomance anaweza akawa nayo kama sio hayo yote real madrid huwa tuna rotation ya wachezaji wetu ili wasiwe na fatique.
Huijui madrid wewe tulia tukupe strategies zetu.
Modric akiondoka kroos nae anaweza ondoka je nani atabaki midfield pale????

Nakubaliana na ww full backs 2 na 3 tuna criss ndo maana leece james yupo kwenye rada zetu.

Afu huyo Theo na Cancelo unadhami unaweza wapata kwa bei gani sasa hivi??????

Camavinga tayari ni natural replacement ya Kroos, Na kuhusu Modric club iendelee kutafuta replacment kwa utulivu mana club ina matatizo makubwa maeneo mengine kuliko hilo la modric kwa sasa kwahiyo wali consider hilo after next season Lakini Jude hawezi kuwa replacement, mana wale waliopo pale wote wamemzidi kuiwezo na bado hata wao hawajaonekanwa kuwa wana uwezo wa kutosheleza, kama kweli wapo serious ku replace modric kwanini wasiende kwa Bernado SIlva? Bruno fernandez? Barella? Musiala? hao ni world class players.
 
Back
Top Bottom