Aye aye jude anakuja. Next season tutakua na option kubwa ya viungo kiendelee kuwaka.
Tupate coaching sasa
Inasemekana anakuja Bernabeu na yupo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili
Huyo jamaa ni mua, anakuja kuishia kukaa bench pale, Hakuna hata midfield moja aliyokuepo pale anyemzidi. Hizi signing za mihemko always zinaishia kuicost timu.
Najua wako watakao biasha ila hii msg itakua ni kumbukumbu tosha ya kuwakumbushia.