Ungeomba sub mkuu ukaongezee hayo yaliyobaki, anceloti hana noma kwa goal scorersushinndi haukufurahisha, matokea yalitakiwa taanze kusoma kuanzia 3-0 au 4-0





Brazil inamhitaji sanaAncelloti msimu ujao sidhani kama atakuwepo
Wamchukue kocha wa LiverpoolBrazil inamhitaji sana
Amin 🤣🤣🤣🤣🤣📌Badae hiyo Chelsea atamfanya mtu kitu kibayaView attachment 2592063
Chelsea atakuja na plan Ile Ile ya pasi ndefu kama alivyoanza kwenye first leg. Na pia at ajaza viungo wengi katikati Kama alivyofanya. Ni matumaini yangu beki zetu na wachezaji wetu wacheze Kwa nidhamu kubwa ya kujilinda na wasiingie na matokeo mkononi. Chelsea Leo atajilipua kushambulia sana walau apate goli.Heko Madridista
Leo tuko uwanjani kuendeleza safari yetu ya ushindi. Nawatazama chelsea wakija na nguvu nyingi walau wapate bao moja la kuwarudisha mchezo.
Mbinu ni ile ile tukae na mpira tucheze one two tupate goli moja ili lizidi kuwaasha chelsea.
Natarajia kipindi cha pili timu itacheza kwa counter attack ikiwa tutaenda half bila kufungana.
Yote kwa yote mpira unamatokeo matatu tusubiri tutakua upande upi.
Hala Madrid
Kubishana na mtu wa Man city ni kupoteza mda na nguvu