Vini pamoja na uzuri wake anakosa sana magoli.
Ukiacha Nacho Vini nae kai cost timu upande wa scoring
sijawahi kumkubali huyo jamaa.
Vini pamoja na uzuri wake anakosa sana magoli.
Ukiacha Nacho Vini nae kai cost timu upande wa scoring
Acha siasa bwana we nani asiekosa magoli huyu vini anafanyaga makubwa sana ajabu anapata Negative feedback kila uchwao kwa mashabiki ivi mnaangaliaga mpira au mnaangalia viclip tu?Vini pamoja na uzuri wake anakosa sana magoli.
Ukiacha Nacho Vini nae kai cost timu upande wa scoring
ao jamaa wanavipaji vikubwa sana wangekua waingireza Ata mbwa zingejua Kuna mchezaji anaitwa Toni na LucaLuca na Toni ni hawa jamaa wanajua mpk wanaboa wanasayari yao pekee yao viungo wa mpira
Nimefurahia ushindi ila mechi ya marudiano tucheze Kwa tahadhari kubwa nidhamu kubwa tusipate yellow card kwani itabidi baadhi wakose mechi hapo ndipo viraka akina NACHO wataingia na kuchomesha. Chelsea game ya marudiano ata shambulia kama nyukiNatumai kila mwana Madrid kafurahia ushindi. Tukutane second leg sisi tutaingia na nguvu ya kutafuta goli moja ili tujihakikishie nafasi
Kwangu ushindi wa mbili bila bado una changamoto kidogo
Sio kwa chelsea hii mbovu inayopigwa na wolves na nyukesto point 6Nimefurahia ushindi ila mechi ya marudiano tucheze Kwa tahadhari kubwa nidhamu kubwa tusipate yellow card kwani itabidi baadhi wakose mechi hapo ndipo viraka akina NACHO wataingia na kuchomesha. Chelsea game ya marudiano ata shambulia kama nyuki
Hawana maajabu hao punguza mteroNimefurahia ushindi ila mechi ya marudiano tucheze Kwa tahadhari kubwa nidhamu kubwa tusipate yellow card kwani itabidi baadhi wakose mechi hapo ndipo viraka akina NACHO wataingia na kuchomesha. Chelsea game ya marudiano ata shambulia kama nyuki
Huko Chelsea kuna nyuki basi? labda nziNimefurahia ushindi ila mechi ya marudiano tucheze Kwa tahadhari kubwa nidhamu kubwa tusipate yellow card kwani itabidi baadhi wakose mechi hapo ndipo viraka akina NACHO wataingia na kuchomesha. Chelsea game ya marudiano ata shambulia kama nyuki