Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
9 seasons bila hatrick against barcaHivi CR7 hajawahi kabisa
9 seasons bila hatrick against barcaHivi CR7 hajawahi kabisa
Nme wish apewe hio number Mendy anazingua sanaCamavinga akikaa pale full left back panapendeza sana
YaaaapGood defensive work by Barcelona
Shughuli tutaimaliza ndani ya bakulo lao, Camp Nou
Tukiwa na CAMAVINGA ndani KROOS VALVEDE naTCHOU tunakuwa zaidi ya RUSSIAN TANKS OF 6TH GENERATION mazeeeNme wish apewe hio number Mendy anazingua sana
Nme wish apewe hio number Mendy anazingua sana
Tajiri angu don Carlo anatufundisha catenassio italian game tactic. Game ya kujilinda sana. Camavinga anapaweza full left back na kupress anaweza anapo battle na opponent ana battle Kwa nidhamu kubwa anafanya clearelance anasema na Mpira.Siungi mkono. Number 3 ni back up. Camavinga ana deliver zaidi akicheza kama kiungo
Leo tupo nyumbani dhid ya Villarreal, fatique ya mid of the week inaweza tugharimu Luca modric maestro hata kuwepo badala yake ceballos ataanza. Dogo ceballos Bado cijamwamini sijui Kwa nn Bado hajaamua kusoma notsi za maestro Luca maduara
Uliona mbali. Madrid saana atapata SARE kwa muda huu uliobakiLeo tupo nyumbani dhid ya Villarreal, fatique ya mid of the week inaweza tugharimu Luca modric maestro hata kuwepo badala yake ceballos ataanza. Dogo ceballos Bado cijamwamini sijui Kwa nn Bado hajaamua kusoma notsi za maestro Luca maduara
Kawa chapati mbele ya Chukuweze.. kageuzwa hatariSijawahi mkubali Nacho mimi...na huwa nasema ni mchezaji mbovu sana ambaye anaendelea kuwepo kikosini.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Ni uchochoro yaan..Kawa chapati mbele ya Chukuweze.. kageuzwa hatari
Ana mambo mengi yasiyo na faidaVini pamoja na uzuri wake anakosa sana magoli.
Ukiacha Nacho Vini nae kai cost timu upande wa scoring
Nacho tunae basi tuu n kiraka anaweza piga namba kadhaa kama kiraka central back 4 na 5 anaweza piga LEFT na RIGHT BACK 2 au 3 anapiga hata defensive mid 6 anaweza so far ni mhispamia lazima tuwe na wazawa good enough nacho amekulia academy so Kuna DNA lazima awe pale kuwapa wanaokuja na anaandaliwa kuja kuwa miongoni ya wakurugenzi badae ila suala la kiwango jamaa ni WA kawaida mnoooo kiasi ya Kwamba hupenda kukabia macho au mgongo.Sijawahi mkubali Nacho mimi...na huwa nasema ni mchezaji mbovu sana ambaye anaendelea kuwepo kikosini.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app