Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Niimani yangu Jana GAVI alifanyiwa uhuni wa kutosha alijikuta anaanzisha vita na wahuni waliotulia kumbe Kuna ITALIANO MAFIA kama DON CARLO na wahuni wengine wa south America akina MILITAO hopefully dogo GAVI aliomba msamaha Jana.
Game ya mwisho ma legend wa Madrid walituma salama Kwa malegend wa Barca Kwamba ongeeni na dogo wenu aseee.
 
Siungi mkono. Number 3 ni back up. Camavinga ana deliver zaidi akicheza kama kiungo
Tajiri angu don Carlo anatufundisha catenassio italian game tactic. Game ya kujilinda sana. Camavinga anapaweza full left back na kupress anaweza anapo battle na opponent ana battle Kwa nidhamu kubwa anafanya clearelance anasema na Mpira.
 
Leo tupo nyumbani dhid ya Villarreal, fatique ya mid of the week inaweza tugharimu Luca modric maestro hata kuwepo badala yake ceballos ataanza. Dogo ceballos Bado cijamwamini sijui Kwa nn Bado hajaamua kusoma notsi za maestro Luca maduara

Laliga sisi tunacheza lolote litakalo tokea ni sawa. Kikubwa focus yote tuvuke hatua inayofata ya uefa na tubebe copa de rey.

Kila la kheri kwa game yetu ya leo. Leo natagemea tulipe kisasi maana hawa ndio walitotoa kwenye mbio za ubingwa laliga game ya kwanza
 
Leo tupo nyumbani dhid ya Villarreal, fatique ya mid of the week inaweza tugharimu Luca modric maestro hata kuwepo badala yake ceballos ataanza. Dogo ceballos Bado cijamwamini sijui Kwa nn Bado hajaamua kusoma notsi za maestro Luca maduara
Uliona mbali. Madrid saana atapata SARE kwa muda huu uliobaki
 
Sijawahi mkubali Nacho mimi...na huwa nasema ni mchezaji mbovu sana ambaye anaendelea kuwepo kikosini.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Nacho tunae basi tuu n kiraka anaweza piga namba kadhaa kama kiraka central back 4 na 5 anaweza piga LEFT na RIGHT BACK 2 au 3 anapiga hata defensive mid 6 anaweza so far ni mhispamia lazima tuwe na wazawa good enough nacho amekulia academy so Kuna DNA lazima awe pale kuwapa wanaokuja na anaandaliwa kuja kuwa miongoni ya wakurugenzi badae ila suala la kiwango jamaa ni WA kawaida mnoooo kiasi ya Kwamba hupenda kukabia macho au mgongo.
 
Back
Top Bottom